Ananiambia naniliu yangu ni ndogo kama kijiti

Eid mubarak

Siku moja natoka zangu kazini narudi ghetto kwangu njiani nikakutana na mtoto kwenye zigo la kichokozi. Baada ya kumuimbisha sana anipe namba mwishowe akatoa kishingo upande.

Siku si siku yule mtoto nilimwalika aje kwangu. Kweli mtoto alikuja, na siku hiyo ghetto langu lilinukia unyunyu wa chibu. Baada ya kupata kick mbili tatu tuliamua tumalizie kitandani.

Tunafika kwenye mchezo wenyewe, mimi nikavaa ndomu. Kitu cha ajabu kilichotokea naniliu ilisinyaa kabisa ikawa kama kidonge. Yule bi dada akaniambia mbona naniliu ndogo kama kidole gumba. Mimi hapo niliishiwa pozi.

Sasa baadaye mada iligeukiwa kwangu kwa nini nina naniliu kama ya mtoto. Nilijitetea na baba, mjomba na kila ndugu zangu tupo ivyo. Mwisho wa siku nikaambiwa siwezi kazi na matusi juu.

Sasa jana nimempigia nimsalimie akanikumbusha naniliu ndogo kama kijiti. Sasa ilibidi nimblock tuu. Hapa nina mawazo kwa nini mimi lakini?

vibamia wenzangu karibuni tujiliwaze
Aisee unadharilisha tupu ya baba ako kwa kahaba kwa nini,
Yaani unamwambia kahaba baba ako nae anakibamia,
Ww ni zaidi ya upumbavu wenyewe,
Halafu kwa nn usitafute wa tundu dogo
 
kakisinyaa kanakua hivyo yaani hahah

aibu naona mie
2-1-1024x683-1-1024x683-2-1024x683-1.jpg
 
Back
Top Bottom