MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,342
- 11,227
Nimetizama Hata Liz1 wa Libya nae kadakwa Libya wameweza Tanzania Nasi Tutaweza
Do not make assumptions, not every situation is similar.
Nimetizama Hata Liz1 wa Libya nae kadakwa Libya wameweza Tanzania Nasi Tutaweza
<br />
<br />
sio kweli acha kupotosha
<br /><br /><br />
<br /><br />
sio kweli acha kupotosha
<br /><br />Gadaffi hata akitoka usitegemee amani Libya maana kama wananchi ndio wangemto isingekuwa issue lakini kwa sababu ya NATO tusitegemee jipya ni vita kwenda mbele
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.
Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.
Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.
Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.
Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
tumia ingalao shingo kufikiri kuliko hayo MASUBIRIHayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.
Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.
Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
asaad wa SYRIA ameachwa naona wana wa syria wanafaidi namna anavyotatua mzozoUngekuwa na akili hata kidogo usingeshangilia nchi za magharbi (NATO) kuja kuharibu nchi ya kiafrika eti kwa kisingizio cha demokrasia! Huku ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuendeleza wizi wa mafuta!
Mbona sisi hatuwachagulii MALKIA kule Uingereza?
Ni huyo huyo miaka nenda rudi, na akitoka anamuachia mwanae!
Acheni utumwa wa akili!
Nimetizama Hata Liz1 wa Libya nae kadakwa Libya wameweza Tanzania Nasi Tutaweza
Wazungu wakija kununua ardhi Rukwa mnawapa thousand of thousands of acres,Miafrika ilishalaniwa na haina pa kutokea mtalia sana...mnasupport Ulaya na Marekani kuvamia Afrika ili viongozi wa Afrika waogope wasithubutu kubishana na Wazngu wakati huo huo ni nyie mnaosema serikali zinapigia magoti wazungu nyie mna nini nyie?!!!
Nani asiejua Ghadaff kaondolewa na Wazungu mana hawaheshim na kuwapigia magoti nani?!! akili hamna ndio mana mnapenda kusaidiwa..mnawaza uzinzi na dili tu useless kabisa!!!
Jabali wamekliweza aisii,sikutegemea.Ubabe una mwisho mazee.Nimetizama Hata Liz1 wa Libya nae kadakwa Libya wameweza Tanzania Nasi Tutaweza
Jabali wamekliweza aisii,sikutegemea.Ubabe una mwisho mazee.