Analysis: End of Gadaffi, Reasons for Fear Kikwete, Mugabe, Museveni...

niweze

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
1,008
116
The Fall of Tyrant
d3e0e2d7ac0b8d10b908c09f670eece1.jpg


Ukiamka leo asubuhi utaona jinsi dunia ina-brace for changes in Libya. Hii ndio news duniani kote 'Gadaffi na watoto wake wameangushwa libya' tunajua hii process imekuwa ndefu lakini finally this is the end of Gadaffi. Sometime naona kama ni ndoto kwani vijana duniani hasa nchi kama libya, egypt, tunisia wame-achieve unachievable in real terms. Ukweli ni kwamba tumekuwa tunaimba jinsi gani hii generation ya vijana na utaifa sio ile ya mababu na mabibi zetu. Tumesikia serikali ya Tanzania inavyoendelea kudharau na kuziba masikio ya vilio na majonzi ya vijana na zaidi kuwakamata viongozi wa cdm.
Rebels enter Tripoli, crowds celebrate in streets | Reuters

Somo la hapa tena na tena tunaona wadikteta wa Afrika hawaondoki Africa kwa hiari yao. kila nyakati zinapokuja tunaona so-called viongozi wakijaribu kila njia bila uoga kudanganya na kudhutu ku-paint different picture for their country. Nyakati za wahuni na wezi kuondoka Afrika zilishafika zamani na wanatakiwa kuondoka. Ukiangalia Uganda, Malawi, Zimbabwe na Tanzania utaona sifa na mitego yao ni ileile na styles ni zilezile. Angalia Uganda Museven anachokifanya kwa wapinzani, angalia kikwete anachokifanya kwa cdm, angalia mugabe anachoendelea kukifanya .... what in the world does kikwete thinking? Kuendelea kuunda kamati za corruptions, kuendelea kudanganya hali ya fedha Tanzania na kuendelea kuficha critical docs za corruption na resources zetu.

Another picture ni hii how can one man lead libya for 42 years na kudai yeye ni 'a leader and no one else?'

Jambo jingine hapa tusisahau wale wote waliosaidia kuangushwa kwa Gadaffi. Vijana wote walibya waliokuwa wanasoma nje na kufanya kazi nje ya nchi, mchango wao kubadilisha nchi yao lazima to commend. Wale waliokufa na kupigwa kwenye hii vita na wale wote waliouliwa na Gadaffi kwa ajili ya kumpinga Gadaffi. One more thing, Gadaffi will end up in jail.

Media call them 'young man in pick up truck take on tyrant'

Ku-summarize hii historical moment, tuwaombee walibya kila la heri kujenga nchi yao na tukijua hii journey haitakuwa kitu rahisi. Kuna wengine watasema mbona hali ya walibya haibadiliki mara moja, lakini tukae tukijua libya ni country na sio kijiji. Libya kuna tribal and oil dictrubition issues, these are facts.

Libya is done and battle shift to Tanzania, Uganda, Zimbabwe, Malawi ......
 
Usicheze na NATO au Marekani, kama wamekupania uondoke madarakani. Walimtoa Noriega na kumfunga jela mvua ya nguvu! Walikuwa wnampiga taratibu huku wakijifanya kuwa wanapata upinzani wa nguvu. Lakini walipokaribia kilomita kama 75 hivi, waliingia kwa kasi sana tena ilikuwa Usiku ili Walengwa wasiweze kutoloka Nje ya nchi! Hivi ndivyo walivyomtaimu Gadafi na wanawe wawili. Sasa Gadafi atasakwa kama vile ilivyokuwa kwa Sadam Simba(hussein)! Mungu bariki viongozi wapya wa Libya wasiwe na uroho wa kama Gadafi!
 
Nimetizama Hata Liz1 wa Libya nae kadakwa Libya wameweza Tanzania Nasi Tutaweza
 
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.

Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.

Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
 
niweze

Duh umeongea kwa hisia kweli.............nani alijua the giant of Africa mtu aliyekuwa na pesa ya kuikopesha AU kuwa leo yuko kwenye cage.
Mimi nawaambia wazee wetu hasa walio madarakani kwa muda mrefu wasituone watanzania hasa vijana ni wapole,
Wanaingia mikataba fake Dowans and likes tukiwaomba watuonyeshe docs wanasema sisi hatuhusiki..
Wanauza maliasili zetu wanauza dhahabu zetu kwa mirahaba ya kipuuzi kabisa wanafikiri hatuoni..
Wanajilimbikizia mali miaka miwili mtu anakuwa bilionea wanatuona sisi wajinga tukiwauliza wanatupeleka mahakamani.....
Let me remind them that people are keeping the records one day they will be responsible for what is happening today.
 
niweze

Duh umeongea kwa hisia kweli.............nani alijua the giant of Africa mtu aliyekuwa na pesa ya kuikopesha AU kuwa leo yuko kwenye cage.
Mimi nawaambia wazee wetu hasa walio madarakani kwa muda mrefu wasituone watanzania hasa vijana ni wapole,
Wanaingia mikataba fake Dowans and likes tukiwaomba watuonyeshe docs wanasema sisi hatuhusiki..
Wanauza maliasili zetu wanauza dhahabu zetu kwa mirahaba ya kipuuzi kabisa wanafikiri hatuoni..
Wanajilimbikizia mali miaka miwili mtu anakuwa bilionea wanatuona sisi wajinga tukiwauliza wanatupeleka mahakamani.....
Let me remind them that people are keeping the records one day they will be responsible for what is happening today.
Hizo rasilimali si wanawauzia hao mnaotaka wawasaide kumwondoa madarakani?(NATO etc?)Tumekimbizana na issue za kina Balali huku na tokea then najua issues zilivyo.Msijidanganye eti hao wazungu wa NATO etc watawaonea huruma kwasababu ya ufisadi,na kwamba eti watawasaidia kama ilvyokuwa kwa Libya.Sana sana watawaambia msiwapigie kura hao viongozi.Na kura zikiibiwa hao wanafunga macho kwasababu ofcourse ufisadi wa viongozi wetu unawanufaisha wao primarily.Tena sana sana wawapa mabomu mengi ya machozi na magari mapya ya maji ya kuwasha pamoja na rubber bullets etc. ili waweze kujilinda dhid yenu.And so therefore they can never bite the hand that feeds them

Food for thought.
 
Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.

Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwodnoa JK,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana.

Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanenda kuwlainda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu mfu na noe sense indeed.
Jaribu kutulia ujenge hoja zako vizuri, hakuna mtu amesema JK ataondolewa kwa ajili ya kabila lake ni wewe umeliingiza na kujijibu mwenyewe.

Kuhusu sababu ya machafuko Libya na Tanzania zinaweka kuwa zinatofautiana lakini machafuko ni machafuko tu hata kama sababu zinatofautiana, sababu ya machafuko ya Misri na Tunisia hayakuwa sawa na ya Libya lakini viongozi wao wameondolewa.

Kwenye bold unaposema imagine ufisadi haupo unamaana gani ufisadi upo si jambo la ku-imagine hilo. Siku ya JK ikifika kuondoka usiwe na wasiwasi ataondoka tu hata kama utamlinda kwa vifaru. Una habari kuwa Gaddafi alikuwa na ulinzi wa hali ya juu kuliko kiongozi yeyoye Afrika na alikuwa na suppoters wengi huku wananchi wake wakilipwa hata wasio na kazi lakini mwisho wa siku wako wapi wamemsaidia nini.
 
Hizo rasilimali si wanawauzia hao mnaotaka wawasaide kumwondoa madarakani?(NATO etc?)Tumekimbizana na issue za kina Balali huku na tokea then najua issues zilivyo.Msijidanganye eti hao wazungu wa NATO etc watawaonea huruma kwasababu ya ufisadi,na kwamba eti watawasaidia kama ilvyokuwa kwa Libya.Sana sana watawaambia msiwapigie kura hao viongozi.Na kura zikiibiwa hao wanafunga macho kwasababu ofcourse ufisadi wa viongozi wetu unawanufaisha wao primarily.Tena sana sana wawapa mabomu mengi ya machozi na magari mapya ya maji ya kuwasha pamoja na rubber bullets etc. ili waweze kujilinda dhid yenu.And so therefore they can never bite the hand that feeds them

Food for thought.
Crap

Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.

Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.

Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.

Crap
 
Hizo rasilimali si wanawauzia hao mnaotaka wawasaide kumwondoa madarakani?(NATO etc?)Tumekimbizana na issue za kina Balali huku na tokea then najua issues zilivyo.Msijidanganye eti hao wazungu wa NATO etc watawaonea huruma kwasababu ya ufisadi,na kwamba eti watawasaidia kama ilvyokuwa kwa Libya.Sana sana watawaambia msiwapigie kura hao viongozi.Na kura zikiibiwa hao wanafunga macho kwasababu ofcourse ufisadi wa viongozi wetu unawanufaisha wao primarily.Tena sana sana wawapa mabomu mengi ya machozi na magari mapya ya maji ya kuwasha pamoja na rubber bullets etc. ili waweze kujilinda dhid yenu.And so therefore they can never bite the hand that feeds them

Food for thought.
jmushi1

Nafikiri huwajui wazungu ukiona wanakuchekea usifikiri wanakupenda wanataka dhahabu yako wanataka mafuta yako and not your good white teeth. Unajua kuwa Saadam alikuwa rafiki mkubwa wa US, una habari Mubarack wa Misri alikuwa allied wa NATO, una habari Gaddafi alisaidia kutoa mafuka wakati wa vita vya Irak na kusaidia kwenye WMD. Usicheze na western countries nyie wauzieni dhahabu kwa kujidanganya eti hawatawafanya kitu muulizeni Savimbi wa Namibia walimfanyje au Mugabe walivyomgeuka, Samwel Doe mifano ipo mingi sana.
 
Bila ya kusaidiwa na majeshi ya Wazungu ya NATO waasi wasingemuweza Gaddafi.
Kinachogombaniwa pale in mafuta tu, na siyo udikteta wa Gaddafi - ukweli ndo huo, meza au tema, shauri yako.
Kama ni kuondoa madikteta, mbona wazungu hawakutaka wao kumuondoa Mubarak, au huyu wa Syria.?
Mkono mtupu haulambwi jamani eee!
 
hao walibya ni vijana wa kazi sio mabishoo kama vyie vijana wa bongo, ndio maana sitta alisema mnaendekeza fiesta. JK amechaguliwa na watanzania kwa kura sasa vp unakwenda kumfananisha na Gaddafi.

Mimi nawashauri mjaribu hiyo staili ya Libya halafu ndio mjue ukweli wa mambo. Jamani lazima mkumbuke magereza zetu vijana kama nyie mabishoo ndio mnao olewa.
 
Ngoja na wewe uendelee kupigwa viboko vya umaskini mpaka akili zako zicheze. Unasoma news huko UK, US serikali zao zina madeni makubwa kama nini. Shida ya watu wasio soma na kufanya research mtaendelea kukurupuka na kusema lolote lile. Unafikiri hiyo mikopo ya IMF na World Bank kikwete na mafisadi wanakula sio pesa za wananchi wao huko UK na US. Right now na wao wameshachoka na hakuna faida yeyote kuendelea kutoa mikopo ya hasara ambayo baada ya miaka ishirini mnaomba misamaha hamwezi kulipa .... huu ni wakati na hizi serikali za UK na US wakiona movement ya wananchi na wao watafunga tela kuwa-suport (cheap kuwaondoa kikwete this way).

Sio kila wakati mkimbilie hoja za mafuta tu, the world is run in financial terms na sio rahisi hivyo. Waulize US kama wananufaika lolote Egypt (collapse of Mubarak), walikuwa hawana choice bali kuwaunga mkono Wamisri. Do your research mtanzania na acha kulala au nyie ndio wakina ridhiwan na january ....


Bila ya kusaidiwa na majeshi ya Wazungu ya NATO waasi wasingemuweza Gaddafi.
Kinachogombaniwa pale in mafuta tu, na siyo udikteta wa Gaddafi - ukweli ndo huo, meza au tema, shauri yako.
Kama ni kuondoa madikteta, mbona wazungu hawakutaka wao kumuondoa Mubarak, au huyu wa Syria.?
Mkono mtupu haulambwi jamani eee!
 
HACHENI LONGOLONGO. JIUNGENI HUKU TUFANYE UKWELI<br />
<br />
<font size="4"><b><a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759" target="_blank"><font color="#0000ff">MAANDAMANO DHIDI YA KIKWETE FACEBOOK</font></a></b></font>
<br />
<br />
wacha uchochezi msilitumbukize taifa kwenye matatizo mkadhani NATO watawasaidia hao jamaa wana interest na hapa kwetu wanachota raslimali zetu kwa hiyo msishangae kuona wanaisaidia serikali,pili hao wanaowatuma na familia zao watajichimbia ughaibuni nyie mtauwawa na wao wa-watch kwenye tv,tatu angalieni nyuma pazia hakuna rais aliewaletea wananchi wake maendeleo kama
 
I am not sure what are you talking about, by the way unafuatilia mapambano ya watanzania na hii serikali ya kikwete? Unajua wazi hakuna anayeleta ukabila katika efforts za kubadili inchi yetu? Umepata wapi hii issue? Watanzania wanapigania freedom from ccm, justice for all and democracy.

Kiongozi wetu anaitwa 'liberty' Go back and read your books kama unafanya hii topic ni paper ya class ...


Hayo ya bongo na ya Libya ni tofauti sana.Chuki za kikabila na visasi ndo shida Libya.Hivi mnadhani mkitaka kumwondoa JK kwasababu tu ni mkweree mtafanikiwa?Wengine tutamlinda na ku fight for the nation kama hiyo ndo sababu ya kumwondoa madarakani.Linganisheni kwanza aliyoyafanya Gaddafi kwa maendeleo ya nchi yake na wananchi wa Taifa lake vs sisi TZ tulliofanyiwa na viongozi wetu.Imagine ufisadi uwe haupo halafu eti kwasababu tu yeye ni mkweree ndo umwondoe madarakani.No way.Colonel was good for Libya and Afrika.

Jaribuni basi muone kama hao NATO hawajajiunga na JK vs nyie.Na mkiona mnaungwa mkono kumwondoa JK, madarakani kwa nguvu na mataifa ya NATO,basi mjuwe kuwa ana mpango mzuri wa kuliendeleza Taifa na hivyo tunaonewa wivu.Mkiona mnazidi kuwa masikini na wao viongozi wetu wanazidi kutajirika,basi ujuwe kuwa kumwondoa madarakani kwa nguvu ni ndoto ya mchana kwasababu hawatataka kulilipa taifa pesa za kutosha kutokana na rasilimali wanazochota.

Gaddafi however hajaondolewa kwa nguvu ya umma kama tunavyo aminishwa.NATo walidai wanaenda kuwalinda walibya wasiuwawe na Colonel.Sababu ambayo ni mfu na a typical none sense indeed.
 
Matumizi ya pick up katika vita Libya ni ubunifu wa hali ya juu na kwa kiwango kikubwa kumechangia ushindi wa waasi, Ama kweli panapo nia,ipo njia. Viva Walibya,Viva the pick up revolution!
 
Back
Top Bottom