The Fall of Tyrant
Rebels enter Tripoli, crowds celebrate in streets | Reuters
Somo la hapa tena na tena tunaona wadikteta wa Afrika hawaondoki Africa kwa hiari yao. kila nyakati zinapokuja tunaona so-called viongozi wakijaribu kila njia bila uoga kudanganya na kudhutu ku-paint different picture for their country. Nyakati za wahuni na wezi kuondoka Afrika zilishafika zamani na wanatakiwa kuondoka. Ukiangalia Uganda, Malawi, Zimbabwe na Tanzania utaona sifa na mitego yao ni ileile na styles ni zilezile. Angalia Uganda Museven anachokifanya kwa wapinzani, angalia kikwete anachokifanya kwa cdm, angalia mugabe anachoendelea kukifanya .... what in the world does kikwete thinking? Kuendelea kuunda kamati za corruptions, kuendelea kudanganya hali ya fedha Tanzania na kuendelea kuficha critical docs za corruption na resources zetu.
Another picture ni hii how can one man lead libya for 42 years na kudai yeye ni 'a leader and no one else?'
Jambo jingine hapa tusisahau wale wote waliosaidia kuangushwa kwa Gadaffi. Vijana wote walibya waliokuwa wanasoma nje na kufanya kazi nje ya nchi, mchango wao kubadilisha nchi yao lazima to commend. Wale waliokufa na kupigwa kwenye hii vita na wale wote waliouliwa na Gadaffi kwa ajili ya kumpinga Gadaffi. One more thing, Gadaffi will end up in jail.
Media call them 'young man in pick up truck take on tyrant'
Ku-summarize hii historical moment, tuwaombee walibya kila la heri kujenga nchi yao na tukijua hii journey haitakuwa kitu rahisi. Kuna wengine watasema mbona hali ya walibya haibadiliki mara moja, lakini tukae tukijua libya ni country na sio kijiji. Libya kuna tribal and oil dictrubition issues, these are facts.
Libya is done and battle shift to Tanzania, Uganda, Zimbabwe, Malawi ......