Analogy tv to digital tv Tulidanganywa ?

moghaka

JF-Expert Member
May 16, 2011
252
143
Moja kwa moja kwenye point

Kampeni zilipigwa kwa nguvu sana kwamba tuachane na ANALOGY TV tuingie kwenye DIGITAL TV sababu nyingi sana ,

Sasa baadhi yetu tunajuta BORA mara 10 analogy kuliko hii digital hasa musimu wa mvua, analogy utaona mchele mchele lakini sauti utaisikia vizuri na hata picha kwa mbali black n white lakini angalau information utaipata

Tatizo kwenye digital ni tatizo kubwa sana, mawingu tu yakitanda baaassssii
utapata mang'amu mang'amu tu sauti hakuna, ikianya nanyunyu basi tena

Hasa wakati wa masika unaweza kabisa mwezi mzima huna TV, HAINA KITU

Nimebadili vingamuzi wapi, tena mm niko Dar je wa kijijini ana hali gani ?

Mimi naona tulidanganywa ndio maana wenzetu kule kenya waligoma
Bora wangeziacha zote mbili ziendelee
 
Mafundi wako ndo tatizo mkuu!
Moja kwa moja kwenye point

Kampeni zilipigwa kwa nguvu sana kwamba tuachane na ANALOGY TV tuingie kwenye DIGITAL TV sababu nyingi sana ,

Sasa baadhi yetu tunajuta BORA mara 10 analogy kuliko hii digital hasa musimu wa mvua, analogy utaona mchele mchele lakini sauti utaisikia vizuri na hata picha kwa mbali black n white lakini angalau information utaipata

Tatizo kwenye digital ni tatizo kubwa sana, mawingu tu yakitanda baaassssii
utapata mang'amu mang'amu tu sauti hakuna, ikianya nanyunyu basi tena

Hasa wakati wa masika unaweza kabisa mwezi mzima huna TV, HAINA KITU

Nimebadili vingamuzi wapi, tena mm niko Dar je wa kijijini ana hali gani ?

Mimi naona tulidanganywa ndio maana wenzetu kule kenya waligoma
Bora wangeziacha zote mbili ziendelee
 
Moja kwa moja kwenye point

Kampeni zilipigwa kwa nguvu sana kwamba tuachane na ANALOGY TV tuingie kwenye DIGITAL TV sababu nyingi sana ,

Sasa baadhi yetu tunajuta BORA mara 10 analogy kuliko hii digital hasa musimu wa mvua, analogy utaona mchele mchele lakini sauti utaisikia vizuri na hata picha kwa mbali black n white lakini angalau information utaipata

Tatizo kwenye digital ni tatizo kubwa sana, mawingu tu yakitanda baaassssii
utapata mang'amu mang'amu tu sauti hakuna, ikianya nanyunyu basi tena

Hasa wakati wa masika unaweza kabisa mwezi mzima huna TV, HAINA KITU

Nimebadili vingamuzi wapi, tena mm niko Dar je wa kijijini ana hali gani ?

Mimi naona tulidanganywa ndio maana wenzetu kule kenya waligoma
Bora wangeziacha zote mbili ziendelee
Mimi bado ninalo dish la zamani na linadunda bila chenga na silipi chochote.Ni kweli waliturubuni.
 
Kwanza ni analog siyo "analogy".

Na uliyopata siyo digital tv bali mfumo wa kurushwa na kupokea matangazo hayo ya tv ndiyo umekuwa digital (digital tv transmission).

Kwenye digital transmission ni kweli kabisa hakuna chenga, aidha picha ipo au hakuna. Ukiona chenga chenga ujuwe hiyo picha yenyewe ndiyo yenye chenga si vinginevyo.

Mawingu yanaathiri kwetu kwa kuwa transmission zetu si za karibu bali za mbali na pindi tutakapopata service provider wa kuweza kuutumilia mkonga wa taifa wa mawasiliano na kutuunganishia "fiber optic" majumbani mwetu basi hapo tatizo kwisha na tutaweza kutumia vifaa vyote vya digital bila tatizo.
 
Mkuu faiza,ramadhaan mubarak,
ahsante kwa nondo zako,nami nimepata chochote hapo kutokana na comment yako...
 
Sio mkonga, ni Mkongo
Kwanza ni analog siyo "analogy".

Na uliyopata siyo digital tv bali mfumo wa kurushwa na kupokea matangazo hayo ya tv ndiyo umekuwa digital (digital tv transmission).

Kwenye digital transmission ni kweli kabisa hakuna chenga, aidha picha ipo au hakuna. Ukiona chenga chenga ujuwe hiyo picha yenyewe ndiyo yenye chenga si vinginevyo.

Mawingu yanaathiri kwetu kwa kuwa transmission zetu si za karibu bali za mbali na pindi tutakapopata service provider wa kuweza kuutumilia mkonga wa taifa wa mawasiliano na kutuunganishia "fiber optic" majumbani mwetu basi hapo tatizo kwisha na tutaweza kutumia vifaa vyote vya digital bila tatizo.
 
Moja kwa moja kwenye point

Kampeni zilipigwa kwa nguvu sana kwamba tuachane na ANALOGY TV tuingie kwenye DIGITAL TV sababu nyingi sana ,

Sasa baadhi yetu tunajuta BORA mara 10 analogy kuliko hii digital hasa musimu wa mvua, analogy utaona mchele mchele lakini sauti utaisikia vizuri na hata picha kwa mbali black n white lakini angalau information utaipata

Tatizo kwenye digital ni tatizo kubwa sana, mawingu tu yakitanda baaassssii
utapata mang'amu mang'amu tu sauti hakuna, ikianya nanyunyu basi tena

Hasa wakati wa masika unaweza kabisa mwezi mzima huna TV, HAINA KITU

Nimebadili vingamuzi wapi, tena mm niko Dar je wa kijijini ana hali gani ?

Mimi naona tulidanganywa ndio maana wenzetu kule kenya waligoma
Bora wangeziacha zote mbili ziendelee
TAFUTA FUNDI MZURI AKUFUNGIE ILO DISHI LAKO
 
Karibu madishi yote yenye mfumo wa Ku band mawingu mvua changamoto ipo jee tufanyeje? Kwanini dish za c band hazina shida wadau?
 
Karibu madishi yote yenye mfumo wa Ku band mawingu mvua changamoto ipo jee tufanyeje? Kwanini dish za c band hazina shida wadau?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom