moonlight tz
Member
- Jun 11, 2019
- 51
- 75
Nimecheka kwa sauti kubwa, hebu ongeza volumeee kabisaaa, njaa mbaya sanaNjaa haijamuuma huyo. Mi hata kabla sijakaribishwa nafata mwenyewe jikoni njaa ikiniuma
Nimecheka kwa sauti kubwa, hebu ongeza volumeee kabisaaa, njaa mbaya sanaNjaa haijamuuma huyo. Mi hata kabla sijakaribishwa nafata mwenyewe jikoni njaa ikiniuma
Hongera kwa kuingilia majukumu ya kike na usilazimishe Watu tufanane kwa kanuni zako ktk ndoa sababu tuko tofauti kwa mila, desturi na tamaduni tulizolelewa nazo.Kuna baadhi ya mambo hua nikisikia nashangaaga sana! Mimi sijui sababu nimekua nikijitegemea kwa muda mrefu!! Nakumbuka nimeanza kuishi mwenyewe boarding school na kila kitu nikiwa na 13yrs hivi. Nimeanza kuishi na mwanamke nina 25yrs. Ukweli sijaonaga sababu ya kuandaliwa chakula au hata kufuliwa. Nikitoka kazini nikikuta chakula nakula nisipokuta sio kesi napika mwenyewe na wide yupo anaangalia tv sipendagi sumbua watu kbs. Lkn unakuta mtu anaweza acha mkewe eti hajakaribishwa chakula!? Kweli!? Kweli hua sielewagi.. wanaume hebu wapeni wake zenu uhuru vitu vidogo maliza mwenyewe! Mfano mke wangu hapendi dagaa na maharage mimi siku nipo home napika dagaa zangu vzr na maharage mafreeze siku ninahamu natoa napika ugali wangu safi!
Usingle mother unakutafuta kwa udi na uvumba so stuka uache kudanganyika kirahisi rahisi tu hivyo.Khaaa ni vile umeshaoa. Wanaume wa sikuhizi nao wanatakiwa wapate kitchen party maisha ya sasa yamebadilika sana, mnakuta ndani wote mnafanya kazi tofauti na zamani kwahyo lzma tukubali baadhi ya mambo au umwinyi wanaume wapunguze. M'mke nae ni mtu ana nyama nae huchoka pia, kusaidiana vitu vdogo havibadilishi jinsi yako
Bahati mbaya Sana mmekariri kuwa maisha yamebadilika na mmeyafuata lakini men are the same.
Hatujabadilika tabia yoyote ile.!!
Kuna slayqueen 1 la kichaga lilikujaga geto yani hadi nilijuta kwanini niliingia nalo ktk mahusiano maana lilikuwa haliwezi hata kushika ubanio kunipikia msosi kisa mikono inamuumaKama inakuletea furaha piga chini uanze safari upya.
We only live once. Kwa nini uanze kuteseka na mtu mmekutana ukubwani!?
Kama hakufundishwa na mama yake kabla hajaolewa aishi peke yake tu.
Kwa hii Kauli ningemjibu asante kwa ruhusa, Nilikua naisubir kwa hamu.kaoe mke wa namna hiyo wa kukuita kila wakati wa maakuli
Wavivu juu mpaka chini kivipi yani?
Sio akili zako umelogwa weweKuna baadhi ya mambo hua nikisikia nashangaaga sana! Mimi sijui sababu nimekua nikijitegemea kwa muda mrefu!! Nakumbuka nimeanza kuishi mwenyewe boarding school na kila kitu nikiwa na 13yrs hivi. Nimeanza kuishi na mwanamke nina 25yrs. Ukweli sijaonaga sababu ya kuandaliwa chakula au hata kufuliwa. Nikitoka kazini nikikuta chakula nakula nisipokuta sio kesi napika mwenyewe na wide yupo anaangalia tv sipendagi sumbua watu kbs. Lkn unakuta mtu anaweza acha mkewe eti hajakaribishwa chakula!? Kweli!? Kweli hua sielewagi.. wanaume hebu wapeni wake zenu uhuru vitu vidogo maliza mwenyewe! Mfano mke wangu hapendi dagaa na maharage mimi siku nipo home napika dagaa zangu vzr na maharage mafreeze siku ninahamu natoa napika ugali wangu safi!
Malezi machafu kabisaKuna baadhi ya mambo hua nikisikia nashangaaga sana! Mimi sijui sababu nimekua nikijitegemea kwa muda mrefu!! Nakumbuka nimeanza kuishi mwenyewe boarding school na kila kitu nikiwa na 13yrs hivi. Nimeanza kuishi na mwanamke nina 25yrs. Ukweli sijaonaga sababu ya kuandaliwa chakula au hata kufuliwa. Nikitoka kazini nikikuta chakula nakula nisipokuta sio kesi napika mwenyewe na wide yupo anaangalia tv sipendagi sumbua watu kbs. Lkn unakuta mtu anaweza acha mkewe eti hajakaribishwa chakula!? Kweli!? Kweli hua sielewagi.. wanaume hebu wapeni wake zenu uhuru vitu vidogo maliza mwenyewe! Mfano mke wangu hapendi dagaa na maharage mimi siku nipo home napika dagaa zangu vzr na maharage mafreeze siku ninahamu natoa napika ugali wangu safi!
Afadhali umemsaidia huyo mtotoKwani wanaume waliotawaliwa na wake zao wapoje, yaani wana sifa zipi?
Hapa tunazungumzia tamaduni za kiAfrika na siyo uzungu. Kila jamii ina tamaduni zake.
Mila na tamaduni zetu zimetugawa ki makundi na ki majukumu.
Light duties kama kufua, kufyagia, kuosha vyombo, kupika kuweka mazingira bora nyumbani nk nk, ni za kinamama.
Heavy duties kama kubeba mizigo, kuvunja mawe, ulinzi, vita nk nk ni za kiume.
Na hata sheria za ndoa zinautambua mchango wa kila mmoja katika familia.
Hebu niambie, janaume zima unapika, sijui kufua, wakati mkeo kakunja4 mzima wa afya, wakati yeye hajaja kibaruani kwako hata siku moja kuku backup, jitathimini mara mbilimbili, una tatizo mahali.
Hapo haupalilii penzi wala nini, unauparua mkaa wa moto kwenye jivu.
Mkeo mwenyewe kama anaakili zake na nidhamu yake, lazima atakuzuia, kwa mila zetu ni aibu.
Tatizo la hawa dada zetu kama hauwajui wana akili sana, anaweza akacheza na akili zako hadi ukawa mtumwa wake halali. Ukicheza huo mchezo wa kitoto kwa kisingizio cha kumpumzisha mkeo, unajipalia mkaa kwa siku za usoni.
Pamoja na majukumu yako, pia hayo uliyojiongezea atakuachia yawe yako, usipoyafanya atakukumbusha.
Na ukija kufosi baadaye, uelewe penzi lenu litakuwa tayari limepata ufa na utakuwa umechelewa kuuziba!
Kwa staili yako utapiga chini wengi watu wapo busy na maisha ukitaka kuandaliwa kila siku nenda hotelKama inakuletea furaha piga chini uanze safari upya.
We only live once. Kwa nini uanze kuteseka na mtu mmekutana ukubwani!?
Kama hakufundishwa na mama yake kabla hajaolewa aishi peke yake tu.
Balaaa,sikujua niko ivo.Unajitoa ufahamu?? Ni zero juu hadi chini nje mpaka ndani