mpasta
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 917
- 1,997
Jamaa Mtanga bana kaoa Mchaga miezi kama 6 iliyopita.
Enzi zote za uchumba mke alikuwa anajibidiisha kuandaa chakula cha mumewe, lakini sasa dada wa kazi ndio kila kitu kuandaa mpaka kumpa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari mezani.
Sasa alikuja kuniuliza hilo jambo lipo sawa...kwa tamaduni za kwao Tanga mke ndio anampa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari...
Sasa leo SIKUKUKU YA EID mume kasusa kula alivyopewa taarifa na house girl, mke kamjibu kaoe mke wa namna hiyo wa kukuita kila wakati wa maakuli.
Jamaa kaja kutaka ushauri, mie nimemjibu ni kawaida tu, tamaduni zinapishana asilazimishe mambo ya kwao Tanga, achukulie poa tu asikuze mambo yasiyo na msingi...
Je nimepatia au nimemuingiza chaka?
Enzi zote za uchumba mke alikuwa anajibidiisha kuandaa chakula cha mumewe, lakini sasa dada wa kazi ndio kila kitu kuandaa mpaka kumpa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari mezani.
Sasa alikuja kuniuliza hilo jambo lipo sawa...kwa tamaduni za kwao Tanga mke ndio anampa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari...
Sasa leo SIKUKUKU YA EID mume kasusa kula alivyopewa taarifa na house girl, mke kamjibu kaoe mke wa namna hiyo wa kukuita kila wakati wa maakuli.
Jamaa kaja kutaka ushauri, mie nimemjibu ni kawaida tu, tamaduni zinapishana asilazimishe mambo ya kwao Tanga, achukulie poa tu asikuze mambo yasiyo na msingi...
Je nimepatia au nimemuingiza chaka?