Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Kuna mtu anaomba msaada wenu. Yeye anajuta kuwa na uhusiano na mke wa mtu. Kwani sasa maji yamefika shingoni. Amekuwa katika uhusiano wa siri kwa zaidi ya miaka 4, na cha ajabu kwa jinsi alivyozoeana na familia ya huyo mama kuna siku mambo yalienda vibaya kwani alikula hata mtoto wa mama huyo mwenye umri wa miaka 19. Mtoto huyo amenogewa sana na huyo jamaa anashindwa kumudu mahusiano kwa mama na mtoto huyo kwani mtoto hajui kama jamaa huyo anamega mama yake! Ajabu ni kwamba hivi majuzi mambo yameharibika baina ya mama na mtoto baada ya kuujua ukweli (pia baba wa mtoto na mume wa mama huyo ameujua ukweli). Huyu jamaa yuko hatarini sasa kwani mume wa huyo mama ametishia kulipiza kisasi! Je, afanyeje kwani haoni pa kuificha sura yake!