Wana jf kweli mwenzenu nimeamini kila ukionacho sio dhahabu.
Ukimuona ni mcheshi, mkarimu,anajua kuvaa vimodo na endapo utabahatika kumuona unaweza ukadhani anazo mfukoni.
Kumbe hata kazi hana, analala kwa wazazi wake.
Hata ukimuomba vocha 2 ya buku hapo utamuona anaanza visingizio mara naenda bank, mara mtandao wa tigo pesa unasumbua, mara network ipo busy.
Jamani? Kila siku ndo mambo yake lakini akiwa na shida yake anajua kulia mpaka unaingia laini.
Badirikeni jamani muwe mnajua kuhudumia.
Matusi sitaki
Ukimuona ni mcheshi, mkarimu,anajua kuvaa vimodo na endapo utabahatika kumuona unaweza ukadhani anazo mfukoni.
Kumbe hata kazi hana, analala kwa wazazi wake.
Hata ukimuomba vocha 2 ya buku hapo utamuona anaanza visingizio mara naenda bank, mara mtandao wa tigo pesa unasumbua, mara network ipo busy.
Jamani? Kila siku ndo mambo yake lakini akiwa na shida yake anajua kulia mpaka unaingia laini.
Badirikeni jamani muwe mnajua kuhudumia.
Matusi sitaki