Anahitajika mwalimu wa kujitolea kufundisha somo la Kiingereza

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
372
119
Mwalimu wa KUJITOLEA wa somo la English Language anahitajika. (Posho kwa mwezi ni 150,000/= tu.)

Sifa kubwa
1. Awe ni jinsi ya KE.
2. Elimu ya Stashahada au Shahada ya Elimu.

NB: Shule ipo Ifakara Morogoro

Mawasiliano. 0621538913.

KARIBU SANA
 
Mwalimu wa KUJITOLEA wa somo la English Language anahitajika. (Posho kwa mwezi ni 150,000/= tu.)

Sifa kubwa
1. Awe ni jinsi ya KE.
2. Elimu ya Stashahada au Shahada ya Elimu.

NB. Shule ipo Ifakara Morogoro

Mawasiliano. 0621538913.

KARIBU SANA
kweli fani ya ualimu imedharaulika sana!!!
 
Mwalimu wa KUJITOLEA wa somo la English Language anahitajika. (Posho kwa mwezi ni 150,000/= tu.)

Sifa kubwa
1. Awe ni jinsi ya KE.
2. Elimu ya Stashahada au Shahada ya Elimu.

NB. Shule ipo Ifakara Morogoro

Mawasiliano. 0621538913.

KARIBU SANA
Kwa nini mnataka jinsia ya KE tu?
Naona kama mnacheza kwenye mstari mwembamba sana kuelekea kwenye ubaguzi wa kijinsia katika uajiri wenu?
 
Kwa hiyo laki na nusu anunue mahitaji muhimu apate nyumba ya kupanga nk mmepigaje hiyo hesabu?hebu muogopeni Mungu jamani!
 
Back
Top Bottom