Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,322
- 14,244
Mmhhh!!!,Sasa kwanini usiende wewe mwenyewe kumtunza??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Sana mkuu kwa kuwa na moyo mzuri wa ukarimu, Mungu akusaidie ili upata fursa ya kwenda kumsaidia.Mwee nimeumia km ni mtoto ningekuwa sn mishe ya kutoka kila siku huyo mtoto ningemchukua nimlee mpaka mgonjwa atakaporecover for free.Mungu akupe wepesi
Una vinasaba vya umbea mkuu.Inavyoonekana hiyo familia yenu haina mahusiano mazuri na ndugu zenu. Haiwezekani familia nzima akosekane wa kuuguza mgonjwa.
Unafahamike wewe nani kwani. Unadharaulika kutokana na shobo zako za maonesho humu JAMII FORUMS.Unanifahamu?
Pengine TanzWapambanaji 140k hiyo sema jamaa ndio kapotea na wala mawasiliano hajaweka.
Una vinasaba vya umbea mkuu.
hii inakuhusu nini?
Mkuu hayajawi kukutokea, mie nilichojifunza hapa duniani ndugu yako wa kweli ni Mama yako tu wengine ni wasindikizaji.Inavyoonekana hiyo familia yenu haina mahusiano mazuri na ndugu zenu. Haiwezekani familia nzima akosekane wa kuuguza mgonjwa.
Miaka ya Leo siyo Kama zamani kila mtu yupo kwenye kupambania mkate wa familia yake na wengine wanafanya kazi za bila likizo Sasa waache waharibu kazi?Yatupasa tuishi vizuri na ndugu, jamaa, marafiki na jamii yote kwa ujumla.
Swala la kumuhudumia mgonjwa halihitaji mtu wa kulipwa.
Watu wakipata nafuu ya maisha wanaamini pesa ndio kila kitu na kudharau wanaomzunguka.
Usihukumu my dear . 😱😱Unafahamike wewe nani kwani. Unadharaulika kutokana na shobo zako za maonesho humu JAMII FORUMS.
Nadhani alikua anamaanisha usimhukumu mtu kupitia maandishi, kwasababu hapa wengi tunafahamiana kwa miandiko tu na sio kuonana live.Unafahamike wewe nani kwani. Unadharaulika kutokana na shobo zako za maonesho humu JAMII FORUMS.
Ndugu?? Ni Heri Rafiki kuliko Ndugu..... Nakushauri katika maisha yako yote hapa duniani, usitegemee ndugu kabisaa....Inavyoonekana hiyo familia yenu haina mahusiano mazuri na ndugu zenu. Haiwezekani familia nzima akosekane wa kuuguza mgonjwa.
😆😆😅 vimeumanaUnafahamike wewe nani kwani. Unadharaulika kutokana na shobo zako za maonesho humu JAMII FORUMS.
Hao ni more rekable kuliko.kuokoteza jamii forumsPole sana. Ongea na manesi au wahudumu wa afya waliopo hapo hospitalini watakusaidia.
Vijana nao wanahitaji kujikwamua lakini.Hao ni more rekable kuliko.kuokoteza jamii forums