M mawindo Member May 18, 2018 66 104 Dec 7, 2020 #1 Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume. Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi. Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga. Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume. Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi. Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga. Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
M mawindo Member May 18, 2018 66 104 Dec 7, 2020 Thread starter #4 holy holm said: kuna mtu mamjua nikuunge nae Click to expand... Fanya hivyo chap
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,587 215,184 Dec 24, 2021 #6 Kuna wadada wa Kidogo wanapika chapati zenye kurasa.