Salaam wadau..Anahitajika mhudumu wa ofisi ya sheria hapa Dar as salaam.Kazi zake itakua ni Kufanya usafi wa ofisi,kupokea wageni/wateja,Kwenda sehemu kama posta nakadhalika.Ofisi ipo Upanga na ni ya mawakili.Vigezo ni umri kuanzia miaka 18 mpaka 35,kujua kusoma na kuandika,Awe wakike,Awe amesoma angalau mpaka form 6.Asikae maeneo ya mbali sana na ofisi mawakili ya kuwahi.Kwa mawasiliano namba ni 0689900000 na email ni ndaha2000@gmail.com