Mkuu iyo nafasi bado ipo?Kama Mada hapo juu inavyojieleza, anahitajika mdada wa kazi za ndani, Mahali ni kibaha, nyumba ina mtoto mmoja tu wa miaka Sita.
Kwa yeyote mwenye connection tusaidiane.
Anahitajika bado mkuuMkuu iyo nafasi bado ipo?
Kama Mada hapo juu inavyojieleza, anahitajika mdada wa kazi za ndani, Mahali ni kibaha, nyumba ina mtoto mmoja tu wa miaka Sita.
Kwa yeyote mwenye connection tusaidiane.