Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Salaam wakuu,
Ndugu yangu anahitaji kazi ya udreva wa kuendesha magari kafika form four na ana vyeti vyote pia kapitia NIT chuo cha usafirishaji mabibo na anachet chake.
Tunahitaji msaada kwa kijana mwenzetu pia anaweza kufanya kazi ya ubber.
Leseni yake hiyo hapo na mawasiliano yake ni ni
0766346076
0677745805.
Ndugu yangu anahitaji kazi ya udreva wa kuendesha magari kafika form four na ana vyeti vyote pia kapitia NIT chuo cha usafirishaji mabibo na anachet chake.
Tunahitaji msaada kwa kijana mwenzetu pia anaweza kufanya kazi ya ubber.
Leseni yake hiyo hapo na mawasiliano yake ni ni
0766346076
0677745805.