charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Habarini ndugu zangu,Naamini hamjambo.
Unajua kuna mambo ambayo ni magumu kumwambia mtu,wakati nikiwa chuoni miaka ya nyuma huko,kunamshikaji tulikuwa darasa moja na bahati mbaya group discussion moja.
Shida ya huyu jamaa nilikuwa nashindwa kumtofautisha na bata,namaanisha alikuwa na kikwapa uspime yani kama mna discuss swali 1 unaweza kuhisi ni maswali 10.Yani sielewi sijui alikuwa analala na bata au.........Halafu inaonekana yeye hajistukii na anapenda sana mambo ya kusalimia ki westen yani kukumbatia wenzie.Hivi unapokutana na mtu kama huyu unaanzaje kumwambia,nadhani hili jambo sio geni jamani mmesha kutana nalo.
Unajua kuna mambo ambayo ni magumu kumwambia mtu,wakati nikiwa chuoni miaka ya nyuma huko,kunamshikaji tulikuwa darasa moja na bahati mbaya group discussion moja.
Shida ya huyu jamaa nilikuwa nashindwa kumtofautisha na bata,namaanisha alikuwa na kikwapa uspime yani kama mna discuss swali 1 unaweza kuhisi ni maswali 10.Yani sielewi sijui alikuwa analala na bata au.........Halafu inaonekana yeye hajistukii na anapenda sana mambo ya kusalimia ki westen yani kukumbatia wenzie.Hivi unapokutana na mtu kama huyu unaanzaje kumwambia,nadhani hili jambo sio geni jamani mmesha kutana nalo.