Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,271
- 5,892
Unaposema 'ko' unamaanisha 'so'?Shukrani kaka. me siyajui sana magari ko kuna fundi nimemleta kuzikagua anasema bado nzima na hazijabadilishwa kifaa chochote cha ndani ukiacha cover za sit
Mbona maneno hayaendani kaka