Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Sina chakukulipeni Wakuu. mmenifungua vizuri sana. Ko ili nijue kama limelipiwa au lina exemption pa bila wao kujua nifanyeje? nikienda Tra na plt number wanaweza niangalizia au njia gani nitumie?
Hapa tena naona umeandika 'ko'.
Unamaanisha 'so'?
 
Habari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.

Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.

wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.

View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Haya kwetu siku hizi tunabebea abiria 7000 tuu arusha to namanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna miradi inapataga misamaha ya kodi ya kuingiza vifaa vya miradi.vifaa hivyo vikuzwa anaye nunua anatakiwa kulipia ile kodi iliyosamehewa kwa thamani ya kile kitu kwa wakati kinauzwa.

Hivyo kama hayo magari yalipata msamaha wakati wa manunuzi,jua ukinunua utatakiwa kulipia kodi,kwa sababu madhumuni ya gari yanakuwa yamebadilika kutoka kuwa la mradi na kuwa la mtu binafs
hapo ajiandae na kodi isiyopungua 10M ambayo nayo inaeza kuzidi
 
Back
Top Bottom