Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Habari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.

Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.

wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.

View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Ha ha ha ha. Utatapeliwa mchana peupe
 
Hao jamaa ni wazungu?? Kama ni wazungu chukua gari van guard mzee hio gari ni noma sana. Ukifanya kazi na wazungu project zao znavoisha hayo ndo matunda hawa jamaa sio wachoyo kama wahindi, waharabu nk. Mzungu huwa anaacha vitu kama alikodi nyumba anakupa kila kitu cha ndani gari anakuachia kiroho safi kwao ni vitu vya kawaida hivo. Tupe mrejesho huu uzi toka January ulifanikiwa??
 
Hao jamaa ni wazungu?? Kama ni wazungu chukua gari van guard mzee hio gari ni noma sana. Ukifanya kazi na wazungu project zao znavoisha hayo ndo matunda hawa jamaa sio wachoyo kama wahindi, waharabu nk. Mzungu huwa anaacha vitu kama alikodi nyumba anakupa kila kitu cha ndani gari anakuachia kiroho safi kwao ni vitu vya kawaida hivo. Tupe mrejesho huu uzi toka January ulifanikiwa??
Kwasababu ni matajiri na wana maisha ya kitajiri.
 
Habari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.

Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.

wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.

View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Gari hizo kwa shape ni tofauti, ila kwa upande wa mifumo ya Engine, kwa matoleo hayo uliyoweka picha yanatumia Engine zinazofanana yaani 2AZ-FE, ikiwa na CC 2362(2400)!
Kwa hiyo uchaguzi wako utategemea tu muonekano(Car Rendering/architecture) na siyo perfomance kwani kili kitu ni sawa sawa tu kwa mifumo ya Engine na Gear Box
 
Hahahahah we huwajui wabongo! Tena ndio wataagiza kwa kasi. 😂😂😂!

Najaribu ku imagine huyo raisi ajaye kama atakuwa mtu wa pwani watu tutakulaje bata! Maana hapo alipo anateseka sana kama sisi tunavyohenyeka.

Make TZ Shamba la Bibi again!
Umeniua
B1B0AC5D-07E7-46EA-963C-EE920ACB9922.gif
 
Back
Top Bottom