Habal za hasubuh naitaj mtu anaeweza kuroot htc desire 820 na samsung galaxy a8 tafadhal nichek kwa no. 0769038065
Samsung kuiroot rahisi..tumia framaroot kwa hiyo galaxy yako.
htc itakubid ku unlock bootloader kwanza..hii ndo utabid utafute mtu..akusaidie..
ila kama utapenda kufanya mwenyew nayo ni rahisi tu tunaweza tukakusaidia.
Oky so kwa samsung hiyo software inaweza kuroot samsung A8?
Kweli htc nimefuatilia nikaona ivyo unatakiwa kuunlock hiyo kitu nimefuata maelekezo vizur mpaka nikajisajili kwa htc developer website nijatumiwa fail kwenye email yangu itakayo tumika kuunlock hapo ndo nilipo kwamia kuendelea inatakiqa utumie comand kufuata procedure zinazoendelea
NASHUKURU MKUU NAOMBA ZIDI KUNISAIDIA NIKAMISHE
Mkuu inaniletea hii smsView attachment 298172
Dah mkuu na hiyo imegomaaView attachment 298287
na jinsi ya kuformat simu aina ya galxy s4?Mkuu inaniletea hii smsView attachment 298172
na jinsi ya kuformat simu aina ya galxy s4?