zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Wale wote wenye Mawazo finyu ya kujiona wao wana uchungu na nchi hi mpaka kuwaza kuifia ni wazi mtindio wao utakuwa umekaa vibaya.
Waliopewa dhamana na wananchi ya kuilinda,kuitetea kwa hali na mali wao ndo wa kwanza kujilimbikizia Mali,kujilipa Posho kubwa,kuiba Rasmali za nchi hii.
Wenye nafasi ya kuonyesha kuwa nchi hii,inalindwa wao ndo kwanza kuacha majukumu hayo,
Hawa wabunge wanaosema maisha yamepanda dodoma,mbona wakazi,wafanyakazi wa taasisi zote hawajatoa tamko la kutaka Mishahara yao ipande ili kwenda sambamba na Ukuaji wa Maisha wanayo yasema.
Mwenye kuifia TANZANIA ALISHAONDOKA .
Waliopewa dhamana na wananchi ya kuilinda,kuitetea kwa hali na mali wao ndo wa kwanza kujilimbikizia Mali,kujilipa Posho kubwa,kuiba Rasmali za nchi hii.
Wenye nafasi ya kuonyesha kuwa nchi hii,inalindwa wao ndo kwanza kuacha majukumu hayo,
Hawa wabunge wanaosema maisha yamepanda dodoma,mbona wakazi,wafanyakazi wa taasisi zote hawajatoa tamko la kutaka Mishahara yao ipande ili kwenda sambamba na Ukuaji wa Maisha wanayo yasema.
Mwenye kuifia TANZANIA ALISHAONDOKA .