mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
ngoja nipite sijaingia kwenye ulimwenguhuo
naam, nimekuja, yani ni aibu tu imenijia gafla, sijui imetokea wapi, mzee akiniambia namwambia tu sitaki, nikimwambia naona aibu anaweza kuniambia mbona zamani 2likuwa twaoga wote.
Duuh!! Hii yako kali sijapata kusikia,mi ninavyofahamu ni kwamba mwanzoni ndiyo unaweza ukawa unaona aibu ila baadae mkishazoeana unaona ni kawaida.
Shhhhhiiii! unavujisha siri za baraza la mawaziri ujue....
oophs sore!
itakuwa najiöna nimezeeka, mana enzi zile nilikuwa kasichana, sasa nishazaa sijui najionaje, nadhani tushakuwa watu wazima, kila mtu aoge kivyake, labda nikamsugue mgongoni.
Mwenye nyumba kapiga marufuku wanandoa kuingia bafuni pamoja...
Me na mme wangu 2likuwa tunaoga pamoja, ila siku hizi naona aibu kwenda kuoga naye, sijui kwa nini!!!
anaona wivu sio....hama nyumba hiyo fastaMwenye nyumba kapiga marufuku wanandoa kuingia bafuni pamoja...
anaona wivu sio....hama nyumba hiyo fasta
Kakate Rufaa
anaona wivu sio....hama nyumba hiyo fasta
Mwenye nyumba mwenyewe mmama wa Kimanyema kisha hana mume,na makamo yake ni kama 47 hivi na anasema mkiingia huko wawili wawili na mimi ntaingia na nani..??Mkitaka kwenda wawili na mimi mnipe zamu kila nikitaka kwenda kuoga......nachagua wa kwenda naye..
Kimanyema hakosi shanga huyo...na pembe
Kwenye shanga upo sahihi kabisa mkuu,ila pembe sijakuelewa mkuu...
mkuu kwa maji yetu ya "ruvu" utapata taifod!Ukitaka vizuri iwe shower. Unamkumbatia halafu unalamba maji yanayomtiririkia mgongoni!
Umebalehe??Me na mme wangu 2likuwa tunaoga pamoja, ila siku hizi naona aibu kwenda kuoga naye, sijui kwa nini!!!