stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
RC Makonda tunakuhitaji mkoa wa Mwanza, ndoto yetu kwa wakazi wa Mwanza kuona unakua mwongozo wa huu mkoa wetu.
Hao watakuona sio kutokana na uwajibikaji wako, siku wakikua na kupata akili ndio watajua tofauti ya pumba, chenga na mchele.
Hao watakuona sio kutokana na uwajibikaji wako, siku wakikua na kupata akili ndio watajua tofauti ya pumba, chenga na mchele.