deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau naomba mnisaidie mambo haya,Kenya kuna vyama vingapi vya siasa? Je ni kweli Kenya hakuna chombo kama Sumatra bei za usafiri wenye chombo ndiyo waamuzi?,hiki kinachozungumzwa kati mh ruto na mh kenyata jee wako vyama tofauti baina yao?