Mzee wachina wanaonunua VINGUNGUTI NASKIA NI BIASHARA POANauliza hivi malighafi zitokanazo na mazao ya ng'ombe zinauzwa wapi? Na ni kiwanda gani kinanunua kama pembe,meno,ngozi na uume? Vitu hivyo huko China ni dili sana je kwa Tanzania soko liko wapi?
Bei zao wanazonunulia zikoje?.Mzee wachina wanaonunua VINGUNGUTI NASKIA NI BIASHARA POA