annie baby
Member
- May 4, 2017
- 45
- 25
Kuna dada anahitaji kazi.ngazi ya mshahara elfu sabini..ni pm kwa maelezo zaidi...
Yuko wapi na anataka mkoa gani? CV ni muhimu pia
Anatokea dar...kijitonyamaYuko wapi na anataka mkoa gani? CV ni muhimu pia
Haji mtu kujifunzia kwangu. Mbona keshaweka mshahara?Mmhh cv kazi za ndani
Yupo tiyari kwenda mikoani? Kafanya wapi na wapi na ni nini kinamtoa aliko?Anatokea dar...kijitonyama
Haji mtu kujifunzia kwangu. Mbona keshaweka mshahara?
nami nipo mkoani nahitaji dada wa kazi..awe anajua kupika misosi mbali mbali hicho ni kigezo mojawapo!! sio kila siku unakula chakula kile kile...!!Yupo tiyari kwenda mikoani? Kafanya wapi na wapi na ni nini kinamtoa aliko?
Yupo dar....kwa wale wa dar tu ndo watampatanami nipo mkoani nahitaji dada wa kazi..awe anajua kupika misosi mbali mbali hicho ni kigezo mojawapo!! sio kila siku unakula chakula kile kile...!!
Haya weye unayejitangaza kuwa mdada wa kazi. Fursa hizoooo tele. Mwagika hapa uitwe haraka mikoani. Au ndo wale hata Mlandizi ni mikoani msikoenda??nami nipo mkoani nahitaji dada wa kazi..awe anajua kupika misosi mbali mbali hicho ni kigezo mojawapo!! sio kila siku unakula chakula kile kile...!!
ok okYupo dar....kwa wale wa dar tu ndo watampata
Yaani Dada wa kazi atoke Dar halafu afanye kazi Dar, Jamaa yake atakuwa anakuja kupigia hapo hapo kwako wakati umeenda kazini. .Anatokea dar...kijitonyama
KabisaUngeweka picha yake mkuu ingependeza zaidi.
Mmmh!Kabisa
Ili tuthaminisheMmmh!
Mthaminishe nini? Kwani mwonekano ndio utakaofanya kazi?Ili tuthaminishe
Muonekano muhimu maana ndani panatakiwa papendezeMthaminishe nini? Kwani mwonekano ndio utakaofanya kazi?