JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 471
Natamani kuwafahamu inasemekana walikua ni watu waliokua hodari na wenye nguvu duniani na walileta ngezeko la maovu
Karibuni wajuzi,wajuaji,wataalamu wa mambo,wazee wa utafiti na wengine wa kufanana na hao
Wacha niendelee kupakia viroba nikisubiri majibu toka humu jamvini
Karibuni wajuzi,wajuaji,wataalamu wa mambo,wazee wa utafiti na wengine wa kufanana na hao
Wacha niendelee kupakia viroba nikisubiri majibu toka humu jamvini