Anachoweza kufanya Mzazi kuhakikisha mtoto anabaki salama mtandaoni

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
1) Kuwaeleza Watoto umuhimu wa kuweka nywila (Password) kwenye vifaa vyao, na kutompa mtu mwingine hata kama wana ukaribu

2) Kuzungumza na Watoto, na kuwaonesha wanaweza kuwafuata pale wanapopata matatizo mtandaoni ikiwemo CyberBullying (Uonevu Mtandaoni)

3) Kuhakikisha Mtoto haweki taarifa zake binafsi ikiwemo mahali anapoishi au namba yake ya simu katika Mitandao ya Kijamii

4) Kuelimisha Watoto kuhusu hatari za kujihusisha na watu wasiowafahamu na kuwakumbusha wengi sio wakweli

=====

Staying safe while using social media

The following guidelines will help make sure your child is safe while they are members of social media:
  • make sure that they don’t publish personal information like their location, email address, phone number or date of birth
  • make sure your child is very careful about what images and messages they post, even among trusted friends – once they are online they can be shared widely and are extremely difficult to get removed
  • encourage them to talk to you if they come across anything they find offensive or upsetting
  • keep a record of anything abusive or offensive they’ve received and report any trouble to the site management (most sites have a simple reporting procedure, normally activated by clicking on a link on the page)
  • make sure they're aware that publishing or sharing anything which would mean breaking a copyright agreement is illegal
  • if your child makes an online friend and wants to meet up with them in real life, you should go along with them to check the person is who they say they are
  • tell them to be aware of online scams – offers which seem too good to be true usually are
  • encourage them not to get into any online discussions about sex as these tend to attract potentially dangerous users
  • if you suspect someone may be grooming your child on a social networking site, or your child is being stalked or harassed, you should contact the police or Child Exploitation and Online Protection Centre (CEOP)
Source:
 
Imekaa vema, social media zinaweza haribu msitakabali wa mtu kama hajawa makini, watu wanajianika kupitiliza
 
Back
Top Bottom