MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 9,549
- 24,158
Maskiinii...Eti kama watoto wadogo acha chuki... yeye ni bosi wao na hapa kazi tu,
Tena kaongea nao vizuri tu. Niambie hata sisimizi unaweza kuwaongoza!?
Kama unatamani kazi yake sema tu, uliraka awachekee uone anawakenulia meno au anawachezea dansi ya ngoma!!!!
Makonda oyeeeeeeeee
Update: maneno aliyoandika mwanzoni ambayo ameyafuta yalinipelekea kuandika niliyoandika, kwahiyo ndivyo ilivyokuwa na ujumbe naona alielewa sio lugha za kumuongelea mtu na haswa kiongozi hivyo.
Video clips zingine kwa post hii bonyeza mkuki uende
Kweli kichaa hakipigi hodi.