cocochanel mumeo huku kakosa mtetezi
Tunamnyonga kweli kudadekiDar ikifelisha mnamlaumu,akipambana kupandisha ufaulu anaingilia wizara duh ,mnyonge mnyongeni
Duuuu sijawahi kuona mtu anaemtetea binadamu mwenzake kiasi hiki. Huoni wala husikiiiAlipata kwenye ulimwengu wenu mnaoujua ninyi.
Mwacheni kiongozi jembe apige kazi, tena wananchi wengi mnampenda sana sanaaaaaa. Ila wivu unawasumbua shaaaaaaaaaaaaaaaaa
Makonda oyeeeeeeeee
Yaani mwizi akuibie halafu akawe mchungaji kisha anakuja kukuombea nawe unashukuru kwa kuwa sasa ni mchungaji? Lumumba ni lazima wawe wajinga?Kumeibuka tabia ya ukisimamia kitu kwa ajili ya wananchi, watu wanatafuta ya nyuma kama ulikuwa Malaika. Halafu utachafuliwa sana kama kulikuwa na makandokando na kile unachokisimamia kwa wakati, watajitahidi kishindwe na wakiona inashindikana.... Wataishia kusema CCM ndio wamefanya haya. Nampongeza Mh. Makonda kwa hili jambo. Tumechezea Elimu yetu kwa kiasi cha kutisha.
Anazungumza na Maofisa elimu kama watoto wadogo.
Bro...umekosa hekima
Hata kwenye maandiko matakatifu walikuwepo... Tena walikuwa wauaji... Paulo na Silla kama sikoseiYaani mwizi akuibie halafu akawe mchungaji kisha anakuja kukuombea nawe unashukuru kwa kuwa sasa ni mchungaji? Lumumba ni lazima wawe wajinga?
Mbona tunakuchezea nyuma siku zote husemi, leo la majukumu ya Makonda yanakuuma dada Cognitivist?Naona demu wa bashite umemaliza kubleed sasa uko free kumtetea basha wako. Twende kazi na RC wako kilaza.
Kama angekuwa na machungu kihivyo na elimu asingepata zero form four na kusoma bachelor degree kwa miaka sita na kuambulia gentlemen degree tena ya kubebwabebwa
Kumbe Kick...Kazingua xn bora basi hata angezuia asirekodiwe ili awaonyeshe hiyo hasir yake! Ila anavyopenda kiki kafanya maksudi kabixa! Hana maumivu na matokeo mabaya ila ana haha kupata kiki tu!