johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Angalia CCM walichofanya;
1. Wanafunzi wa vyuo karibia wote wanapewa kadi za UVCCM kwahiyo ni wanaccm
2. Machinga na Wafanyabiashara ndogo ndogo kwa asilimia zaidi ya 90 wanapaita mikopo ya vikundi kupitia Council na kigezo kimojawapo cha kudhaminika ni kadi ya CCM
3. Bodaboda Vijiwe vyote unavyovijua ni vitengo vya CCM kwenye tawi husika
4. Wakulima wamesajiliwa kupata mbolea ya Ruzuku kwa dhamana ya Serikal ya mtaa ambazo kwa 100% zinaongozwa na CCM
5. Vyama vya Wafanyakazi vyote vina uwakilishi bungeni kupitia UWT - CCM
Katika mazingira kama haya Chadema itampata wapi " mtu mjinga" wa kuandamana
Freeman Mbowe ana Pweinti kwamba Katika jambo lolote hauwezi kufanikiwa Bila ridhaa ya CCM
Na hata Mwenyekiti wa CCM mh Rais Samia amesema wazi CCM milango ya Maridhiano iko wazi ila Wapinzani wakumbuke CCM ni chama tawala kimepewa ridhaa ya Kuongoza nchi na Wananchi
Christmas njema!
1. Wanafunzi wa vyuo karibia wote wanapewa kadi za UVCCM kwahiyo ni wanaccm
2. Machinga na Wafanyabiashara ndogo ndogo kwa asilimia zaidi ya 90 wanapaita mikopo ya vikundi kupitia Council na kigezo kimojawapo cha kudhaminika ni kadi ya CCM
3. Bodaboda Vijiwe vyote unavyovijua ni vitengo vya CCM kwenye tawi husika
4. Wakulima wamesajiliwa kupata mbolea ya Ruzuku kwa dhamana ya Serikal ya mtaa ambazo kwa 100% zinaongozwa na CCM
5. Vyama vya Wafanyakazi vyote vina uwakilishi bungeni kupitia UWT - CCM
Katika mazingira kama haya Chadema itampata wapi " mtu mjinga" wa kuandamana
Freeman Mbowe ana Pweinti kwamba Katika jambo lolote hauwezi kufanikiwa Bila ridhaa ya CCM
Na hata Mwenyekiti wa CCM mh Rais Samia amesema wazi CCM milango ya Maridhiano iko wazi ila Wapinzani wakumbuke CCM ni chama tawala kimepewa ridhaa ya Kuongoza nchi na Wananchi
Christmas njema!