rose mzalendo
Member
- Mar 5, 2019
- 71
- 114
Tundu Lissu ni mwanasheria maarufu ambaye ameeendesha kesi nyingi nchini kwa mafanikio.
Aidha, kwa kipindi sasa amekuwa akijihusisha na masuala ya siasa, na kwa mwaka 2020 ameteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kufuatia mchakato wa uchaguzi unaoendelea tarehe 26.08.2020 alipeleka pingamizi dhidi ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Mh. JOHN POMBE MAGUFULI.
NIA YA TUNDU LISSU
Kwa kifupi Tundu Lissu alichokifanya dhidi ya Mgombea wa CCM kinatoa tafsiri kuwa:
1. Anatafuta umaarufu wa Kisiasa na hasa ukizingatia alikuwa nje ya nchi kwa muda mrefu.
2. Katika hatua ya kujionesha kuwa anauwezo wa kumpinga Rais JPM waziwazi (kifupi ni mashindao ya kitoto)
3. Anajuwa wazi kuwa uwezo wa kushinda katika uchaguzi huu Octoba 2020 hana hivyo anachokifanya ni maandalizi ya uchaguzi wa 2025.
Aidha, kwa kipindi sasa amekuwa akijihusisha na masuala ya siasa, na kwa mwaka 2020 ameteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA.
Kufuatia mchakato wa uchaguzi unaoendelea tarehe 26.08.2020 alipeleka pingamizi dhidi ya Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Mh. JOHN POMBE MAGUFULI.
NIA YA TUNDU LISSU
Kwa kifupi Tundu Lissu alichokifanya dhidi ya Mgombea wa CCM kinatoa tafsiri kuwa:
1. Anatafuta umaarufu wa Kisiasa na hasa ukizingatia alikuwa nje ya nchi kwa muda mrefu.
2. Katika hatua ya kujionesha kuwa anauwezo wa kumpinga Rais JPM waziwazi (kifupi ni mashindao ya kitoto)
3. Anajuwa wazi kuwa uwezo wa kushinda katika uchaguzi huu Octoba 2020 hana hivyo anachokifanya ni maandalizi ya uchaguzi wa 2025.