Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Muda ni mwalimu mzuri, nani ajuae yatayofuata? Tuliwahi kusikia Zanzibar miaka ile ya Dr Gharib, halafu nn kilitokea, rais Allendale Amani Karume kukamilisha miaka 10 yake.
Nani anajua atakuwepo 2025?
Waliodhani watakuwepo sasa TUMEWASAHAU,
Waliodhani hawagusiki sasa WAMESHIKIKA kabisa.
Fanya kazi Rais mengine ya mbele yana Mungu.
Hukupanga kuwa Rais na Mungu anaujua mwisho wa wewe kuwa Rais.
Jukumu moja la kusimamia ni KUIONGOZA TANZANIA UKIWA NA HOFU YA MUNGU.
Usijitoe kwenye focus kwa kuwaza yajayo ambayo mwamuzi wake sio wewe.
Nani anajua atakuwepo 2025?
Waliodhani watakuwepo sasa TUMEWASAHAU,
Waliodhani hawagusiki sasa WAMESHIKIKA kabisa.
Fanya kazi Rais mengine ya mbele yana Mungu.
Hukupanga kuwa Rais na Mungu anaujua mwisho wa wewe kuwa Rais.
Jukumu moja la kusimamia ni KUIONGOZA TANZANIA UKIWA NA HOFU YA MUNGU.
Usijitoe kwenye focus kwa kuwaza yajayo ambayo mwamuzi wake sio wewe.