Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Habari za kushinda wakuu,
Nazani tunajionea kasi anayo endanayo mama Samia. Kutokana na kazi anazo fanya amejizolea sifa kemukemu(Nakiri kuwa anastahili Sifa hizo).
Lakini wananzego wanasema mama anahuruma sana kutokana na anacho fanya. Ni kweli huruma pengine anayo.
Kitu cha kujua wakuu ni kwamba anacho fanya Rais ni haki yetu wala si huruma yake.
Kwa mfano habari ya kuvifungulia vyombo vya habari vilivyo fungiwa na kuweka bayana makosa na adhabu ni haki yetu.
Pia swala la kushusha kodi ili tupate wawekezaji kutoka nje ni haki yetu.
Pia swala la vifurushi kupanda bei hii ni haki yetu ili vishushwe nazani hili tulilipigania.
Najua mnafahamu mambo mengi ambayo ni haki yetu yanafanywa na kuonekana ni huruma yake.
Hongera Rais wetu mama Samia kwa kutupigania.
Nazani tunajionea kasi anayo endanayo mama Samia. Kutokana na kazi anazo fanya amejizolea sifa kemukemu(Nakiri kuwa anastahili Sifa hizo).
Lakini wananzego wanasema mama anahuruma sana kutokana na anacho fanya. Ni kweli huruma pengine anayo.
Kitu cha kujua wakuu ni kwamba anacho fanya Rais ni haki yetu wala si huruma yake.
Kwa mfano habari ya kuvifungulia vyombo vya habari vilivyo fungiwa na kuweka bayana makosa na adhabu ni haki yetu.
Pia swala la kushusha kodi ili tupate wawekezaji kutoka nje ni haki yetu.
Pia swala la vifurushi kupanda bei hii ni haki yetu ili vishushwe nazani hili tulilipigania.
Najua mnafahamu mambo mengi ambayo ni haki yetu yanafanywa na kuonekana ni huruma yake.
Hongera Rais wetu mama Samia kwa kutupigania.