pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,228
Leo kumefanyika mkutano mkubwa sana wa siasa mkoan Mara -Tarime
Mh John Heche mbunge wa Tarime amechukua muda wake kupost picha za mkutano huo katika mtandao wa twitter
Picha ikionesha mamia ya watu waliohudhuria, na kwa kweli inavutia sana kuonesha ukuaji wa Demokrasia nchini, (Mwenye picha anaweza nisaidia kuweka hapa Tafadhali)
Kilichonivutia zaid ni caption au maneno yaliyo sindikiza picha hyo
Mheshimiwa Heche ameandika "Tarime haiwezi kuwa ya kijani, itabaki kuwa nyekundu"
Caption hiyo imenifanya nitafakari hasa, maana ya rangi za vyama vyetu vya siasa
Dunia nzima ina pigana kuwa ya kijani, pale ambapo tunahamasishana kupanda miti, kufanya recycle, kutumia bidhaa zenye kutunza mazingira ili kuwa na dunia ya "kijani" hapa Tanzania tuna wakina Heche ambao wanajiapiza kuwa Tarime haiwez kuwa ya kijani
Huku wakisisitiza kuwa Tarime itabaki kuwa " nyekundu "
Pengine ndugu msomaji,hii dhana isikuingie kichwani had nikukumbushe Tarime Nyekundu anayoitaka iendelee kubaki Bwana Heche ni ipi?
Ni Tarime Nyekundu ya Bwana Heche ambayo imejaa mauaji ya wazee vikongwe, umwagaji damu Nyekundu za wazee wasio na hatia
Ni Tarime Nyekundu ambayo raia wake wanaona fahari kutoleana mapanga hadharani, na kesi za kuchinjana zimejaa kila kituo cha polis
Ni Tarime Nyekundu ambayo mara baada ya matukio ya umwagaji damu kuzidi, yalifanya ipewe hadhi ya kanda maalumu kipolisi
Hii ndo tarime Nyekundu ambayo kiongoz anaapa kuwa haitakuja kuwa kijani
Nyekundu -Blood, Killings, Death
Kijani- Uoto asili, life, ukuaji
Alie buni rangi za CHADEMA alikuwa na lengo gani? Je kutupeleka kwenye umwagaji damu au?
Mh John Heche mbunge wa Tarime amechukua muda wake kupost picha za mkutano huo katika mtandao wa twitter
Picha ikionesha mamia ya watu waliohudhuria, na kwa kweli inavutia sana kuonesha ukuaji wa Demokrasia nchini, (Mwenye picha anaweza nisaidia kuweka hapa Tafadhali)
Kilichonivutia zaid ni caption au maneno yaliyo sindikiza picha hyo
Mheshimiwa Heche ameandika "Tarime haiwezi kuwa ya kijani, itabaki kuwa nyekundu"
Caption hiyo imenifanya nitafakari hasa, maana ya rangi za vyama vyetu vya siasa
Dunia nzima ina pigana kuwa ya kijani, pale ambapo tunahamasishana kupanda miti, kufanya recycle, kutumia bidhaa zenye kutunza mazingira ili kuwa na dunia ya "kijani" hapa Tanzania tuna wakina Heche ambao wanajiapiza kuwa Tarime haiwez kuwa ya kijani
Huku wakisisitiza kuwa Tarime itabaki kuwa " nyekundu "
Pengine ndugu msomaji,hii dhana isikuingie kichwani had nikukumbushe Tarime Nyekundu anayoitaka iendelee kubaki Bwana Heche ni ipi?
Ni Tarime Nyekundu ya Bwana Heche ambayo imejaa mauaji ya wazee vikongwe, umwagaji damu Nyekundu za wazee wasio na hatia
Ni Tarime Nyekundu ambayo raia wake wanaona fahari kutoleana mapanga hadharani, na kesi za kuchinjana zimejaa kila kituo cha polis
Ni Tarime Nyekundu ambayo mara baada ya matukio ya umwagaji damu kuzidi, yalifanya ipewe hadhi ya kanda maalumu kipolisi
Hii ndo tarime Nyekundu ambayo kiongoz anaapa kuwa haitakuja kuwa kijani
Nyekundu -Blood, Killings, Death
Kijani- Uoto asili, life, ukuaji
Alie buni rangi za CHADEMA alikuwa na lengo gani? Je kutupeleka kwenye umwagaji damu au?