Ana uraia wa nchi mbili,anataka kumiliki ardhi afungue kiwanda cha juice TZ!

Ridiculous, ingekuwa hivyo Wakenya wangekuwa wanasajili kampuni halafu wanamiliki ardhi.

Unanambia mimi ndio sijui?

Hujui chochote!

Foreign owned company iliyosajiliwa Tanzania ikiomba kutumia ardhi Kamishna wa Ardhi anampa TITLE DEED Mkurugenzi Mkuu wa TIC, kwenye sehemu ya mmiliki inajazwa TIC. Mwekezaji anapewa DERIVATIVE RIGHTS.

Ndio maana wekezaji wanalalamika kwamba wakienda benki kuomba mikopo na derivative right title deed mabenki mengi yanakataa kwa sababu TIC ndio mmiliki wa title mwisho wa siku.

Unanambia nisibishe kitu ambacho sikijui, wewe unajuaje kwamba wewe unajua mimi sijui? We vipi wewe?

Angalia sasa. Nimesema aje afungue na kusajili kampuni Tanzania. Iwe kampuni ya Tanzania sio foreign owned.
 
Duh!!
Ok thx.
Ila si sawa.
Nina rafiki yangu mkenya ana uraia wa czech republic na kenya,ni mfanya biashara wa mboga ana export.
Why Tanzania???
Jaribu kuelewa kua Kenya ni Kenya na Tanzania ni Tanzania kila Moja ina taratibu zake kwenye swala la uraia,Kama vipi mshauri aende Kenya.Huyo hapa ni Foreigner afate taratibu za Foreigners katika kuwekeza.
 
Mkuu nafikiri hujaweka wazo kinagaubaga ukapata ushauri bora zaidi, swali lina maeneo mengi ambayo yanagusa sheria tofauti za nchi ndiyo maana wadau wanachangia na kukinzana kwa sababu ya swali kutokuwa wazi kwa kila eneo, mfano uwekezaji unahusu raia wa kigeni, kuna sheria zake, kituo cha uwekezaji nao una taratibu zake, biashara anayotaka kufanya Ina sheria zake, Ardhi atakayojenga kiwanda Ina sheria zake (ananunua Kama individual au kampuni) na pia Kama anawekeza kama kampuni kuna sheria zake! changamoto kubwa aliyonayo ni yeye kuwa raia wa kigeni kuwekeza hapa na namna atakavyoendesha shughuli zake! je, atakuwa hapa muda wote au anajenga halafu anarudi nje kuendelea na shughuli zake huku kuna waajiriwa wanaendesha kiwanda. Nchi aliyopo na sheria za money transfer kule pia ni changamoto labda Kama sheria ya nchi aliyopo haimfungi. Hivyo kuna maeneo mengi ya kuangalia, kikubwa ni namna gani anataka kuendesha hiyo shughuli yake. Hiyo ndiyo itang'amua taratibu na njia za kufuata. Lakini kikubwa inawezekana.
 
Wana bodi,

Nina ndugu yangu yupo Europe kwa muda mrefu sasa na tayari ameshachukua passport ya huko ingawa hajaukana utanzania wake.

Sasa amehamasika kuwekeza nyumbani na kwa kuanzia anataka kununua ardhi Pwani kwaajili ya kukamua matunda ya aina mbalimbali ili kupata juice.

Sasa wakati akifatilia ununuzi wa plot ndio akaambiwa haiwezekani maana yeye ameshaukana uraia ingawa si kweli kama ameukana utanzania wake.

Je hapa hili jambo likoje?

Maana hayupo tayari kuukana utanzania wala uzungu na anaendelea kutumia passport mbili.
anaweza akaja kununua tu iyo ardhi, ila ataimiliki kama mwekezaji na sio raia, lazima apitie kituo cha uwekezaji pale atapata masharti yote. asije kujidanganya kuwa atajifanya ananunua ardhi kwa uwekezaji akawa hawekezi kitu, lukuvi atainyang'anya. na pia, hautapata haki ile ya kumiliki kama raia tunavyo miliki, wewe sio raia wa tz tena ujue. kuwa makini usije kupoteza hela yako bure. utakuja hapa kama vile mchina au mjapani atakavyokuja kuwekeza.
 
Ukishachukua Hati ya kusafiria ya nchi nyingine hapo ni dhahiri na moja kwa moja umeukana uraia wako wa Tanzania. Haya ni makosa ambayo ndugu zetu wengi wanaoishi Ughaibuni wameyafanya na inawagharimu pindi wanapohitaji kurudi nyumbani na kununua ardhi au hata kufanya mambo ya kimaendeleo n.k.
Tuzungumzie hali halisi kwenye ''site'' na si hizi habari za kwenye vitabu. Mimi nauliza (kwa kebehi): Hivi kweli kweli mtu umezaliwa Tanzania, ukakulia Tanzania na baada ya kwenda nje na kupata uraia wa huko, utashindwa kufanya uwekezeji kama aliosema jamaa kwa sababu ya uraia? Tatnzania kama una fedha ni nini kinashindikana? Ndio maana watu wanaopinga uraia pacha mimi huwa nawaita wajinga!
 
Angalia sasa. Nimesema aje afungue na kusajili kampuni Tanzania. Iwe kampuni ya Tanzania sio foreign owned.

Yeye ni foreigner, kampuni yake itasajiliwa kama foreign owned. Na hataruhusiwa kumiliki ardhi.

Ukija na bilioni mia moja usidhani ndio utauziwa ardhi kama wewe ni Mkongoman au Mkambodia!

That goes for all of those diasporic wanderers ambao wameutema uraia wa Tanzania halafu wakajikuta huko waliko kumiliki ardhi hawawezi na sisi tumekataa uraia pacha.
 
Duh!!
Ok thx.
Ila si sawa.
Nina rafiki yangu mkenya ana uraia wa czech republic na kenya,ni mfanya biashara wa mboga ana export.
Why Tanzania???
This is the United Republic of Tanzania na hiyo ingine ni Republic of Kenya.

Two different laws, Rules and Regulations.

Anyway anaweza kuja kama foreigner aende Tanzania Investment centre atapata majibu yoote. kama anataka kuexport asisahau kupitia EPZA.
 
Yeye ni foreigner, kampuni yake itasajiliwa kama foreign owned. Na hataruhusiwa kumiliki ardhi.

Ukija na bilioni mia moja usidhani ndio utauziwa ardhi kama wewe ni Mkongoman au Mkambodia!

That goes for all of those diasporic wanderers ambao wameutema uraia wa Tanzania halafu wakajikuta huko waliko kumiliki ardhi hawawezi na sisi tumekataa uraia pacha.
Vipi akiingia ubia na mtanzania na wakafungua kampuni tanzania wakaisajili tanzania,still itakuwa foreign owned company?
 
Tuzungumzie hali halisi kwenye ''site'' na si hizi habari za kwenye vitabu. Mimi nauliza (kwa kebehi): Hivi kweli kweli mtu umezaliwa Tanzania, ukakulia Tanzania na baada ya kwenda nje na kupata uraia wa huko, utashindwa kufanya uwekezeji kama aliosema jamaa kwa sababu ya uraia? Tatnzania kama una fedha ni nini kinashindikana? Ndio maana watu wanaopinga uraia pacha mimi huwa nawaita wajinga!
Tuchukulie mfano mmoja ardhi au nyumba, mbonna wengi tu wana nyumba na viwanja?
 
Yeye ni foreigner, kampuni yake itasajiliwa kama foreign owned. Na hataruhusiwa kumiliki ardhi.

Ukija na bilioni mia moja usidhani ndio utauziwa ardhi kama wewe ni Mkongoman au Mkambodia!

That goes for all of those diasporic wanderers ambao wameutema uraia wa Tanzania halafu wakajikuta huko waliko kumiliki ardhi hawawezi na sisi tumekataa uraia pacha.
Ndivyo unavyojidanganya sio? Endelea kuuridhisha moyo wako! Lakini nikuambie kuna wageni wengi sana (tena hata kiswahili vizuri hawajui) wanaomiliki ardhi Bongo.
 
Vipi akiingia ubia na mtanzania na wakafungua kampuni tanzania wakaisajili tanzania,still itakuwa foreign owned company?

Inategemea.

Mtanzania ana share asilimia ngapi.

Ukimpa Mtanzania asilimia za danganya toto hakubaliwi kusajili kampuni kama domestic concern.

Lazima Mtanzania awe majority shareholder, vinginevyo ardhi hatukupi. Tutakuazima bila kukupa TITLE DEED isipokuwa derivative rights.

Na hiyo derivative right wakati wowote kwenye ukaguzi tukikuta huitumii ardhi hiyo kwa shughuli uliyosema utafanya tunakufukuza.

Na pia huwezi kupata benki ya kukupa mkopo kwa collateral ya ardhi yenye derivative rights.

Mmiliki kwenye TITLE DEED atasomeka kama TANZANIA INVESTMENT CENTER.
 
Wadau, naomba niwafafanulie kwenye makampuni.
Iko hivi foreign company ni ile ambayo imekwisha sajiliwa nje ya nchi inatumia documents zile zile zikiwa certified na mwanasheria wa kule na kuletwa BRELA kwaajili ya kukamilisha usajili kwa maana ya kufungua tawi Tanzania.
Local company- ni kampuni inayofungulia hapa Tanzania na wazawa, wageni, au wazawa & wageni kwa pamoja. Ila kwa biashara zinazohusu madini, maliasili...hawawezi kufungua wageni pekee yao ili waweze kufanikiwa ni lazima wazawa waingie humo.
 
Ridiculous, ingekuwa hivyo Wakenya wangekuwa wanasajili kampuni halafu wanamiliki ardhi.

Unanambia mimi ndio sijui?

Hujui chochote!

Foreign owned company iliyosajiliwa Tanzania ikiomba kutumia ardhi Kamishna wa Ardhi anampa TITLE DEED Mkurugenzi Mkuu wa TIC, kwenye sehemu ya mmiliki inajazwa TIC. Mwekezaji anapewa DERIVATIVE RIGHTS.

Ndio maana wekezaji wanalalamika kwamba wakienda benki kuomba mikopo na derivative right title deed mabenki mengi yanakataa kwa sababu TIC ndio mmiliki wa title mwisho wa siku.

Unanambia nisibishe kitu ambacho sikijui, wewe unajuaje kwamba wewe unajua mimi sijui? We vipi wewe?

Hey buddy...why are you foaming at the mouth?

Want a cookie?
 
Wadau, naomba niwafafanulie kwenye makampuni.
Iko hivi foreign company ni ile ambayo imekwisha sajiliwa nje ya nchi inatumia documents zile zile zikiwa certified na mwanasheria wa kule na kuletwa BRELA kwaajili ya kukamilisha usajili kwa maana ya kufungua tawi Tanzania.
Local company- ni kampuni inayofungulia hapa Tanzania na wazawa, wageni, au wazawa & wageni kwa pamoja. Ila kwa biashara zinazohusu madini, maliasili...hawawezi kufungua wageni pekee yao ili waweze kufanikiwa ni lazima wazawa waingie humo.

Unaomba utufafanulie!

Kwamba umeona tunachemka sio? Ok.

Sasa mbona hujasema chochote kuhusu umiliki wa ardhi? Nothing!

Nilidhani unafafanua kuhusu umiliki wa ardhi kwa foreigners.
 
Hey buddy...why are you foaming at the mouth?

Want a cookie?


Unafanya mchezo wa Josh Norman kwa Odell Beckam Junior?

See, I try to maintain mental presence and not get rattled with that subconcious psychology you using against me to make me lose control.

Back to the subject at hand. Foreigners and diasporic journeymen who relinguished Tanzania citizenship abroad will have to forego property rights, unfortunately.
 
Unafanya mchezo wa Josh Norman kwa Odell Beckam Junior?

See, I try to maintain mental presence and not get rattled with that subconcious psychology you using against me to make me lose control.

Back to the subject at hand. Foreigners and diasporic journeymen who relinguished Tanzania citizenship abroad will have to forego property rights, unfortunately.
Naah ma nigga...I ain't tryna play games wit u ma nigga.

U sure don't want a cookie dawg?

 
Unafanya mchezo wa Josh Norman kwa Odell Beckam Junior?

See, I try to maintain mental presence and not get rattled with that subconcious psychology you using against me to make me lose control.

Back to the subject at hand. Foreigners and diasporic journeymen who relinguished Tanzania citizenship abroad will have to forego property rights, unfortunately.
Inaonyesha una hasira na watanzania walioenda nchi mbalimbali kutafuta maisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom