hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
- Thread starter
- #21
Sawa chifu!Hehe nacheka kama mazuri.
Mkuu, kutokuona sikubwakayi ananyonyesha ni kawaida.
Ila usipokua makini mkeo atabeba mimba wakati mtoto wa sasa ana miezi sita au mitatu tu.
Sio mtabiri ila tunaongelea mambo yapo kwenye jamii haitakuwa case ya kwanza.
Anza sasa mkakati wa kuavoid mimba hata kama jaoni siku zake.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app