HC,mambo? Michelle hajambo?kwani we ni shoga?
Jamani yaan kila nimuona huyu mdada,nachanganyikiwa sana.I really love her,sitanii ila nilipomtupia maneno matamu akaniambia ana jamaa yake sasa mimi SIKUBALI nataka kumpindua jamaa.What can i do?? Nipen mbinu kama huna pliz nenda threads zingine.
yeah tru dats jembe afu huyu jamaa cjui niaje coz duu kasha mteli kuwa ana mchizi lakini bado mchizi anazidi kumganda duu hvi kama yeye ndo angekuwa ndio mmiliki en anasikia kuna mkali anataka kumpindua angefanyaje acha hzo mambo wazuri hawaishi alwayz new brand zina zidi kujamkuu taratibu! .. kuna jamaa huko mbeya waligandana....! :nono:
Kama wote mnapendana hakuna kitakachoshindikana, usiforce acha mambo yatokee automaticaly..
Songíto;3623237 said:"What goes around comes around", pindua tu baba usijali ila nawe kaa ukijua kuwa utapinduliwa tu huku mbeleni, jiandae
si uwe speatair
By the way from the heading "Mimi nampenda Zaidi" ?
Unajuaje kama wewe unampenda zaidi ?, upo kwenye roho ya jamaa kujua kipimo cha mapenzi yake kwa huyu binti
😄😄😄😄😄😄Wanawake wanazeeka mapema sana..duh yule mdada saiv kawa mbayaaaaa!! Ila ndo hivo sikupiga na saiv sina mzuka nae tenaaa..anikome
Viumbe hao Huwa wazuri tu Mwanzoni Mwanzoni,wakipigwa Sana huzeeka😄😄😄😄😄😄
Yaan mpaka najiuliza alikuwa ananitesea nn enzi hizoViumbe hao Huwa wazuri tu Mwanzoni Mwanzoni,wakipigwa Sana huzeeka
Ilikuwa ni Tamaa tu,hiyo hali inatukuta wengi....Ila hawa viumbe wapo wengi sanaaaYaan mpaka najiuliza alikuwa ananitesea nn enzi hizo
Tumia elimination method tu, ingiza pesa kusawazisha vigingi vyote!Jamani yaan kila nimuona huyu mdada,nachanganyikiwa sana.I really love her,sitanii ila nilipomtupia maneno matamu akaniambia ana jamaa yake sasa mimi SIKUBALI nataka kumpindua jamaa.What can i do?? Nipen mbinu kama huna pliz nenda threads zingine.
Mpango ni kumfanya big G tukama una nia ya kumchezea bora umwache aendelee na mahusiano yake ila kama unampenda for future rusha ndoana yako
Mpe helaJamani yaan kila nimuona huyu mdada,nachanganyikiwa sana.I really love her,sitanii ila nilipomtupia maneno matamu akaniambia ana jamaa yake sasa mimi SIKUBALI nataka kumpindua jamaa.What can i do?? Nipen mbinu kama huna pliz nenda threads zingine.
Saiv nimeghairi mkuu..havutii tenaTumia elimination method tu, ingiza pesa kusawazisha vigingi vyote!