google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,672
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata c sielewi....Swali lako limekaa upande mmoja, jiulize ukifa wewe mwanaume atakua na haki ya kurithi chochote chako kisheria?
Asante mhenga, missing you too.
Watoto inabidi wakue kati yetu, usikasirike. Acha wajifunze bwana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kufikiria kuwa mke wa piliHyo comment yangu haikuwa hvo moderator aliedit comments nyingi kwenye Uzi huu na nyingine kufuta ambazo zingemsaidia huyu dada, so my comment were edited na nyingine kufutwa maana Mimi sikumshauri hata kwenda ustwai nilimwambia a relax akifikiria mke wa ndoa kujua ndo atapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka mke ajue iweje comments zangu zingekusaidia nogwa tu ya moderator hata ukitumia akili ya kuvuka barabara hukuhitaji ushauri wa kisheria zaidi wa kawaida tu. Pia halikuwa povu ushauri tu kwako uliyefikiria kuzaa na mume wa mtu deal, kuzaa hata panya anazaa shogaa angu upo?Siwezi kufikiria kuwa mke wa pili
Pia you need to understand the threat before commenting...
Alafu niliomba ushauri ila wewe uliishia kutoa mapovu ndio maana huenda moderator aliona ulikuwa nje ya topic katika kuchangia kwako....dada Cariha
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa amezaa na mwanaume ambaye sio mume wa mtu,halafu huyo mwanaume akaja akaoa mwanamke mwingine ambaye hazai,sheria inasemaje hapo?Kisheria huna haki yoyote kwa kuwa wewe si mke wa ndoa. Kijamii tunakuona kuwa mwizi wa waume za watu.
But you need to celebrate kwa kuwa umepata mtoto mlee na mtunze mwanao huyo ndiye ndugu yako.
Kama umri wako bado nakushauri achana na huyo mwanamme haraka sana kabla mkewe hajafahamu tafuta na naamini utampata mme wako wako. Muombe huyo mzazi mwenzio msaidiane kulea mwanenu
1. Uzao wao (mtoto), amezaliwa kabla ya ndoa, hivyo hatambuliki kwenye ndoa (sio halali).Angekuwa amezaa na mwanaume ambaye sio mume wa mtu,halafu huyo mwanaume akaja akaoa mwanamke mwingine ambaye hazai,sheria inasemaje hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa na mumeo muulize kama anaweza akaifahaisha familia yake kuwa unaye mtoto, jitahidi sana familia ya mume ijue una mtoto wa huyo mwanaume usifiche hilo wakimtambua huyo mtoto basi kuna mengine yaweza kutokea huko mbele ya safari na badae ikiwemo kumpa mtoto hela ya matumizi...Habari wanaJF,
Naomba ufafanuzi juu ya sheria hii
Mimi ni binti ambaye nipo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye alishaoa toka mwaka 2015 kwa ndoa ya kikristo na toka nipo naye kwenye mahusiano tuna mwaka 1 na miezi 2...