Ana Mke lakini nina Mtoto wake, Naomba ufafanuzi juu ya jambo hili kisheria

Hyo comment yangu haikuwa hvo moderator aliedit comments nyingi kwenye Uzi huu na nyingine kufuta ambazo zingemsaidia huyu dada, so my comment were edited na nyingine kufutwa maana Mimi sikumshauri hata kwenda ustwai nilimwambia a relax akifikiria mke wa ndoa kujua ndo atapendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kufikiria kuwa mke wa pili
Pia you need to understand the threat before commenting. Alafu niliomba ushauri ila wewe uliishia kutoa mapovu ndio maana huenda moderator aliona ulikuwa nje ya topic katika kuchangia kwako....dada Cariha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kufikiria kuwa mke wa pili
Pia you need to understand the threat before commenting...
Alafu niliomba ushauri ila wewe uliishia kutoa mapovu ndio maana huenda moderator aliona ulikuwa nje ya topic katika kuchangia kwako....dada Cariha

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unataka mke ajue iweje comments zangu zingekusaidia nogwa tu ya moderator hata ukitumia akili ya kuvuka barabara hukuhitaji ushauri wa kisheria zaidi wa kawaida tu. Pia halikuwa povu ushauri tu kwako uliyefikiria kuzaa na mume wa mtu deal, kuzaa hata panya anazaa shogaa angu upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisheria huna haki yoyote kwa kuwa wewe si mke wa ndoa. Kijamii tunakuona kuwa mwizi wa waume za watu.

But you need to celebrate kwa kuwa umepata mtoto mlee na mtunze mwanao huyo ndiye ndugu yako.

Kama umri wako bado nakushauri achana na huyo mwanamme haraka sana kabla mkewe hajafahamu tafuta na naamini utampata mme wako wako. Muombe huyo mzazi mwenzio msaidiane kulea mwanenu
Angekuwa amezaa na mwanaume ambaye sio mume wa mtu,halafu huyo mwanaume akaja akaoa mwanamke mwingine ambaye hazai,sheria inasemaje hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa amezaa na mwanaume ambaye sio mume wa mtu,halafu huyo mwanaume akaja akaoa mwanamke mwingine ambaye hazai,sheria inasemaje hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Uzao wao (mtoto), amezaliwa kabla ya ndoa, hivyo hatambuliki kwenye ndoa (sio halali).

2. Hafungwi na matokeo ya kabla ya ndoa, isipokuwa matokeo ya kwenye "ndoa" tu.

3. Kwa mfano wako, bado mama na mtoto wasingekuwa na nguvu za kisheria dhidi ya yule mke halali wa ndoa.

4. Mahusiano rasmi na halali yana "haki" na yanaonekana mbele ya sheria kuliko mahusiano batili (yasiyo rasmi).
 
Habari wanaJF,

Naomba ufafanuzi juu ya sheria hii

Mimi ni binti ambaye nipo kwenye mahusiano na mwanaume ambaye alishaoa toka mwaka 2015 kwa ndoa ya kikristo na toka nipo naye kwenye mahusiano tuna mwaka 1 na miezi 2...
Kaa na mumeo muulize kama anaweza akaifahaisha familia yake kuwa unaye mtoto, jitahidi sana familia ya mume ijue una mtoto wa huyo mwanaume usifiche hilo wakimtambua huyo mtoto basi kuna mengine yaweza kutokea huko mbele ya safari na badae ikiwemo kumpa mtoto hela ya matumizi...
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom