Leo nimekutana na mkasa tata sana nimeshindwa kuamua kesi hii iliyonichukulia zaidi ya masaa matano.
Kuna rafiki mmoja anatembea na dada moja aliyeolewa kwa ndoa na ana watoto wawili ila ANA MATATIZO MAKUBWA NA MUMEWE NA SUALA LA MALAVIDAVI KWAO NI KIKAO KIKAE na mpaka mkasa huu unatokea ni kwamba hajapewa na mumewe kwa muda wa miezi 5 sasa.
Kwa kuzingatia hilo mwanamke akamtafuta jamaa ambaye anaona kuwa anampenda kutokana kwamba alifuatilia kwa siku nyingi sana zaidi ya miaka kumi bila mafanikio mpaka wakati huu ambapo dada aliona ndiyo kipindi cha faraja kwao na kumpa mavituziiii.
Na wameanza mahusiano ya kimapenzi zaidi ya miezi miwili na wamefanyana mara mbili tu mwezi uliopita na wiki iliyopita na hawa watu wanaonekana kuaminiana na kupendana hasa ukiwaangalia tu.
Lakini leo mchana Dogo kanipigia cm.akanisihi sana nimfuate mojawapo ya hospitali za binafsi iliyotulia sana kwenda kuamua kesi yao kwamba yeye ametembea na huyo mwanamke mara mbili tu tena kwa tahadhari kubwa na suala la ngono salama yaani matumizi ya Condom yalizingatiwa sawasawa na mwanamke alikuwa wa kwanza kukiri hilo na alilihakikisha alilisimamia zoezi hilo na walipomaliza hakuona Condom kama imepasuka. Lakini baada ya kama wiki tatu aligundua kuwa siku zake zimepitiliza na hivyo alikwenda kumwona Dr. Na majibu yalivyoka yalionyesha kuwa mwanamke ni mjamzito akajihisi kuchanganyikiwa akampandia jamaa hewani na kusababisha kikao hiki ambacho nimeshindwa kukiamua maana MWANAMKE ANADAI HAJAFANYA NA MUMEWE MIEZI 5 SASA KUTOKANA NA MIGOGORO YAO NA DOGO ANA MKE NA WATOTO WATATU AMECHANGANYIKIWA HAJUI LA KUFANYA MAANA HAJUI MIMBA HIYO IMEPATIKANAJE.
Suala la kutoa mimba kwao halipo wanadhani yatakuwa makosa mara mbili hasa kulingana na imani zao na mwanamke anaona kutoa mimba litakuwa kosa mara mbili tena la kuua ambapo hataweza kujisamehe hata yeye mwenyewe na tayari dogo anaonyesha kukubaliana naye anatamani kuondoka anawaza watoto wake hawezi kuwaacha watateseka sana maana huyo Mumewe tayari alishawahi kukiri kuzaa na House Girl wao ambaye wanatoka kijiji kimoja na huyo dada miaka michache iliyopita.
Zaidi sana jamaa ni mbabe hata kutoa matumizi ya kawaida kama chakula kwa watoto ni tatizo ni mwanamke ajibane kazini kwake afuge kuku na vi miradi vidogovidogo ndipo aendeshe familia mwanaume ni mkali kwenye hela kiasi kwamba akimpa pesa ya matumizi hata 5000 anaweza kumsimanga hata mbele za watu na inajulikana kwa wanafamilia wa pande mbili kuwa mwanume ana jimama la kiswahili na aliahidi kujirekebisha lakini haikufanyika hivyo.
Dogo anawaza kutorosha pamoja na watoto wake ampangishie nyumba mbali mji wanaoishi mwanamke anaogopa maana hakuondoka pale walipokuwa na ugomvi mkubwa leo huu wa kichinichini ukimwondoa anawaza wanafamilia yake hasa mama yake anaweza akachanganyikiwa na hata kuugua kulingana na imani yake.
Kuwabeba watoto wa huyo Bwana na kuondoka nao anaogopa kwa madai kwao ni washirikina yanaweza kumkuta makubwa na suala la kwenda kumhadaa na kufanya naye mapenzi ili waseme ni mimba ya nyumbani linakuwa gumu kulingana poor communications zilizoko humo ndani.
Naombeni wadau mbalimbali na wanajamii mnisaidie kuamua hii kesi nimewambia tuonane kesho jioni ila ki ukweli sina jibu la kitaalamu kuwapa hawa watu na wanapendana kufa ila dogo amechanganyikiwa.
Nawasilisha kwenu naombeni mchango wa mawazo tafadhali tuokoe hili jahazi hasa madaktari walioko humu.
Kuna rafiki mmoja anatembea na dada moja aliyeolewa kwa ndoa na ana watoto wawili ila ANA MATATIZO MAKUBWA NA MUMEWE NA SUALA LA MALAVIDAVI KWAO NI KIKAO KIKAE na mpaka mkasa huu unatokea ni kwamba hajapewa na mumewe kwa muda wa miezi 5 sasa.
Kwa kuzingatia hilo mwanamke akamtafuta jamaa ambaye anaona kuwa anampenda kutokana kwamba alifuatilia kwa siku nyingi sana zaidi ya miaka kumi bila mafanikio mpaka wakati huu ambapo dada aliona ndiyo kipindi cha faraja kwao na kumpa mavituziiii.
Na wameanza mahusiano ya kimapenzi zaidi ya miezi miwili na wamefanyana mara mbili tu mwezi uliopita na wiki iliyopita na hawa watu wanaonekana kuaminiana na kupendana hasa ukiwaangalia tu.
Lakini leo mchana Dogo kanipigia cm.akanisihi sana nimfuate mojawapo ya hospitali za binafsi iliyotulia sana kwenda kuamua kesi yao kwamba yeye ametembea na huyo mwanamke mara mbili tu tena kwa tahadhari kubwa na suala la ngono salama yaani matumizi ya Condom yalizingatiwa sawasawa na mwanamke alikuwa wa kwanza kukiri hilo na alilihakikisha alilisimamia zoezi hilo na walipomaliza hakuona Condom kama imepasuka. Lakini baada ya kama wiki tatu aligundua kuwa siku zake zimepitiliza na hivyo alikwenda kumwona Dr. Na majibu yalivyoka yalionyesha kuwa mwanamke ni mjamzito akajihisi kuchanganyikiwa akampandia jamaa hewani na kusababisha kikao hiki ambacho nimeshindwa kukiamua maana MWANAMKE ANADAI HAJAFANYA NA MUMEWE MIEZI 5 SASA KUTOKANA NA MIGOGORO YAO NA DOGO ANA MKE NA WATOTO WATATU AMECHANGANYIKIWA HAJUI LA KUFANYA MAANA HAJUI MIMBA HIYO IMEPATIKANAJE.
Suala la kutoa mimba kwao halipo wanadhani yatakuwa makosa mara mbili hasa kulingana na imani zao na mwanamke anaona kutoa mimba litakuwa kosa mara mbili tena la kuua ambapo hataweza kujisamehe hata yeye mwenyewe na tayari dogo anaonyesha kukubaliana naye anatamani kuondoka anawaza watoto wake hawezi kuwaacha watateseka sana maana huyo Mumewe tayari alishawahi kukiri kuzaa na House Girl wao ambaye wanatoka kijiji kimoja na huyo dada miaka michache iliyopita.
Zaidi sana jamaa ni mbabe hata kutoa matumizi ya kawaida kama chakula kwa watoto ni tatizo ni mwanamke ajibane kazini kwake afuge kuku na vi miradi vidogovidogo ndipo aendeshe familia mwanaume ni mkali kwenye hela kiasi kwamba akimpa pesa ya matumizi hata 5000 anaweza kumsimanga hata mbele za watu na inajulikana kwa wanafamilia wa pande mbili kuwa mwanume ana jimama la kiswahili na aliahidi kujirekebisha lakini haikufanyika hivyo.
Dogo anawaza kutorosha pamoja na watoto wake ampangishie nyumba mbali mji wanaoishi mwanamke anaogopa maana hakuondoka pale walipokuwa na ugomvi mkubwa leo huu wa kichinichini ukimwondoa anawaza wanafamilia yake hasa mama yake anaweza akachanganyikiwa na hata kuugua kulingana na imani yake.
Kuwabeba watoto wa huyo Bwana na kuondoka nao anaogopa kwa madai kwao ni washirikina yanaweza kumkuta makubwa na suala la kwenda kumhadaa na kufanya naye mapenzi ili waseme ni mimba ya nyumbani linakuwa gumu kulingana poor communications zilizoko humo ndani.
Naombeni wadau mbalimbali na wanajamii mnisaidie kuamua hii kesi nimewambia tuonane kesho jioni ila ki ukweli sina jibu la kitaalamu kuwapa hawa watu na wanapendana kufa ila dogo amechanganyikiwa.
Nawasilisha kwenu naombeni mchango wa mawazo tafadhali tuokoe hili jahazi hasa madaktari walioko humu.