nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
Akutafute ili ukamtekee??Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Kwanini usijibu hapa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Akutafute ili ukamtekee??Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Aise Kati ya watu wanaonishukuru ni LWAKATARE, ONGEA NAYE UPATE UKWELI. ANAUJUA NA ANAJUA NILIMSAIDUAJEMzee Lwakatare na familia yake kesho wanaenda kanisani kutoa shukrani kwa Mwenyezi Mungu kutokana yaliyotokana na kesi ya Ugaidi uliyoitunga kwa kushirikiana na Ludovic , subiri malipo ya Mungu
SIO KILA KITU KINAJIBIWA NA KILA MTU, NA KILA KITU NI PUBLIC
That's my niggaSIO KILA WAKATI UNATUMIA PhD rafiki yangu. WAKATI mwingine ishi kama wenzako. Kwani WATANZANIA Wote wanna PhD?
Leo kwa Mara ya kwanza ndio nimekutana na Jibu la kisiasaYes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Mh. unaweza kuongelea nini kuhusu hali ya siasa nchini ?.URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Mimi naomba kukuuliza,je wewe ni Mkrristu,Muislam au mpagani?Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
anaweza kubadilisha mpaka nchi na uraia ikiwa anataka kupata kile anachohitaji.Halafu ana majina mawili kama Makonda. La ukweli ni Lameck Madelu na la kufanyia kazi Mwigulu Nchemba. Ogopa sana mtu anayebadili hadi majina ya baba na Babu.
Mimi naomba kukuuliza,je wewe ni Mkrristu,Muislam au mpagani?
Je hua unaungama au kutubu dhambi zako Kama wafanyavyo Waumini wengine?
[/QUOTE
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
SIO KILA KITU KINAJIBIWA NA KILA MTU, NA KILA KITU NI PUBLIC
SIO KILA KITU KINAJIBIWA NA KILA MTU, NA KILA KITU NI PUBLIC
amebip sasa watu wanampigia alafu anaogopa kupokea maana hana analoweza kujibu. unajua hawa wanasiasa wanafikiri watanzania ni wale wale wa zama za kidumu chama cha mapinduzi.Naomba tumuache kijana wa watu kwa maswali mnayo mswalika hajatoa majibu yaliyojitosheleza. Kwa halii yawezekana hata huko alipo mapigo ya moyo yapo juu. Tumpe hongera mh. Raisi Magufuli kwa kutoona umuhimu wa huyu jamaa . Maana kama angeendelea kukalia kiti cha uraisi mpaka leo wananchi wengi wangekuwa hawajulikani walipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hatutakwenda kwa kuwahukumu wengine, ila mlevi mmoja alisema anaweza kwenda kutoa ushahidi akihitajika!😂Kesho Siku ya IBAADA KATUBU KWANZA NDIO UWATAZAME WENGINE. MAANA MBINGUNI HATUTAKWENDA KWA KUWAHUKUMU WENGINE
Mheshimiwa hii issue ya uhandishi kwenye babara haina maana waambie waje na hoja zenye maana hawajui bongo wanasiasa they are celibrities they got fans. DahSikuwahi kuandika, hata sijui wapi na wapi pameandikwa. Maana ilikuwa kazi ya mashabiki. Tufute tu maana swala la USAFI WA MAZINGIRA NI LETU SOTE
Mh. hata ukiulizwa kuhusu Iramba hali itakuwa hivyo hivyo hutokuwa na majibu ya kutoa maana nyie ni watu wa kusifia sifia tu kwa Raisi ili mpate chakula chenu na watoto wala sio kwa sababu ya wananchi.URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Muulize wewe maswali yenye mantiki wao waache waulize yanayowagusa,waache watoe machungu yao, watu wanajua jinsi wanasiasa wa bongo walivyokua na sura mbili,sura ya kwanza ni ya wakati wa kuomba kura na sura ya pili ni baada ya kupata ours.Nilitegemea Muulize Maswali Kwa mh mbunge ..Maswali fikirishi yenye mantiki badala yake mnatoa kashfa na kumwambia cheo dhamana wakati hilo linajulikana...cheo sio cha Milele hata Mengi amekufa ameacha mahela yake hapa hapa Duniani..sasa sijui mlitaka Jamaa awe Waziri Milele??