vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,185
Kaka Mwigulu kuhusu kuvaa scaff siyo wote wanamaanisha ni wazalendo. Wengine wanavaa kuwaadaa wakubwa wao. Hivi Kangi Lugola yale mamifuko ya shati ya bendera yote kumbe mwizi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwigulu na Kangi ukiwaweka kwenye mzani wa Mungu wa ubaya na dhambi kubwa kubwa tu basi Kangi ni Malaika wa Mbinguni na Mwigulu ni Shetani wa motoni na mtu akitaka kujua hayo ni rahisi tu fanya "Compare and contrast" utaona Kangi ni cha mtoto, lakini upande wa pili jamaa namsifu hanaga aibu kabisa na sijui ule ushahidi wa uhaini wa Rwakatare aliosema anao hata kwa Mungu atautoa ajabu mpaka leo kimyaaa, Igunga ?, Iramba Ndago? Viroba Baharini? Viroba mto Ruvu?, Watu kupotea bila sababu? Bomu Olasiti Arusha? Mambo ni mengi muda mchache!