Dr. Mwigulu Nchemba
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 416
- 2,037
- Thread starter
- #201
Ubunge ni Matakwa ya WANANCHI, ila nikijitathimini, nimevuka malengo, Kuna vitu Nimefanya havikwepo hata KWENYE ahadi. Ya UWAZIRI NAOMBA NISIZISEMEE MAMLAKA HUSIKA. KUNA KUTUMWA NA KUNA KUPUMZISHWAMh kulingana na Tanzania ilipotoka, Ilipo na inapokwenda unafikiri unatosha kuwatumikia Watanzania katika nyanja ya Ubunge au hata Uwaziri?? Ni vyema ukatuambia kwanini..??