Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,323
- 6,848
NAONESHA MSISITIZO ππππππ
Duh!
Nawe ni mbunge, 'msomi' mwenye PhD, na mtu uliyewahi kuwa waziri!!
Kazi ipo.
Mh. Waziri watu wana hasira walishachubuka mabega wanabeba maboksi. Muda siyo mrefu utawaona wanapiga hodi ofisini kwako maana sasa baada ya Corona inabidi hata zile za kubeba maboksi ziwe ni za wazawa!
Huyu mtu mimi huwa kila nikimlalamikia, watu wananiona nina dharau! Mafuta Shell kuanzia leo bei TZS 1500/= . Mara ya mwisho bei hii ilikuwepo mwaka 2009!. Huyu yeye hata haelewi hii ina maana gani kwake, halafu yeye anaanza kukashifu viongozi na the most learned!