ana "D" mbili

shareef95nes

Senior Member
Jan 16, 2013
108
16
habari zenu wakuu,
kuna mdogo wangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana, amepata D mbili ambazo ni D ya maths na ya kiswahili,sipendi kuona dogo anakahome nataka kutafutia kitu cha kufanya sasa nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wakupata chuo chochote kile hapa Tz ambacho ninaweza kumpeleka.naamini kuwa wanajf niwashauri wa zuri,nategemea majibu ya hekima na busara ili niweze kumsaidia kijana huyu.ahsanteni!!
 
Mpeleke akasome foundation course kifaulu atajiunga na ngazi ya cheti(certificate) katika chuo chochote kile hapa tanzania
 
habari zenu wakuu,
kuna mdogo wangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana, amepata D mbili ambazo ni D ya maths na ya kiswahili,sipendi kuona dogo anakahome nataka kutafutia kitu cha kufanya sasa nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wakupata chuo chochote kile hapa Tz ambacho ninaweza kumpeleka.naamini kuwa wanajf niwashauri wa zuri,nategemea majibu ya hekima na busara ili niweze kumsaidia kijana huyu.ahsanteni!!

Mdogo wako alifanya nini na muda wake kwa miaka minne?
 
Back
Top Bottom