Wana JF wenzangu huyu ni mwanangu kamaliza juzi CPA anasubiria matokeo naomba kwa yeyote anayefahamu mahali penye kazi itakayomfaa huyu mwanangu please naomba tusaidiane kwani kazi zimekuwa ngumu sana. Nimeona niwashirikishe najua sitakosa mawazo mazuri hapa. Naomba kwa wazoefu wa kupata kazi na wanaojua nafasi za kazi please tushirikiane tuokoe vijana wetu wasiingie kwenye majanga mabaya.
Nawatakia kazi njema
Nawatakia kazi njema