Mwamikili
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 417
- 137
<EM><FONT size=2>wewe unaona ni sawa nchi yetu kupangiwa matumizi ya hela na serikali ya nje????? <BR>Huna habari kwamba NGO zimekuwa vichaka vya kuiba hela zinazotolewa na wafadhili?<!-- google_ad_section_end --> <BR><BR></FONT></EM><FONT size=2><FONT size=4><BR>na wewe ni wale wale vilaza msiokuwa na uchungu na mali ya umma, bora ngo's, misikiti, makanisa kuliko serikali ya ccm, na nakuambia subiri mwisho wenu ccm unakuja labda mkaishi mwezini ila hapa bongo mtarudisha mali zote mlizokwapua</FONT></FONT>