Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Hii kitu hata kama ni ya kutungwa, ina ukweli fulani ndani yake! Mi ninahakika hawajamaa hapa kwetu wanaisha maisha ya peponi, kwa sababu anything they need the get for almost free! Makwao maisha ni magumu, hawawezi kuwa na vitu vyote wanavyovipata hapa wakiwa huko kwao!
Lets change the altitude, tuache kuwatetemekea hawa jamaa....wanameshatunyonya sana na bado wanaendelea tu????
Lets change the altitude, tuache kuwatetemekea hawa jamaa....wanameshatunyonya sana na bado wanaendelea tu????