An economic bomb is more dangerous than atomic bomb

Hivi mna uhakika kuwa uchumi wa Russia umeporomoka? Au vyombo vya habari vya magharibi ndo vimewalisha hayo
Uchumi wa Russia hata ukiporomoka impact yake sio kubwa kama America n.k. Russia kuna ma Oligarchy pia kuna masikini ambao effect ya uchumi kwao kuwa mkubwa au mdogo sio kubwa..., hence watu kama hao huenda mabadiliko yakawafanya wazidi kuichukia NATO / USA na sio necessarily Putin....

Pia hata wakibana huku China akisema tuendelee kufanya biashara huenda in the long run NATO / USA ikabaki na an egg in their face...,

Balance of Power can change anytime and America future is not as bright as it once once...
 
Kama Korea anadunda Pamoja na kuwa na vikwazo lukuki,itakuwa Russia?Korea mpaka kajitenga na ulimwemgu na anadunda!
 
Hivi mna uhakika kuwa uchumi wa Russia umeporomoka? Au vyombo vya habari vya magharibi ndo vimewalisha hayo
Huhitaji kuwa na hakika maana dunia uchumi unategemana, kwa sunctions alizowekewa lazima uchumi utikisike, assets zake zilizoko nje ya Russia kwenye nchi za Ulaya na Marekani zimekamatwa. Ameondolewa kwenye SWIFT network, huu ni mtandao unaotumika kufanya international money transfer. Nimeona China ana wa kwake wanaweza hamishiana yeye na Russia, lakini je mabenki ya China yako willing kurisk kuwekewa vikwazo?
Ukitaka kujua kuwa joto limeanza, jana amepatisha rates kutoka 9% mpaka 20% akijaribu kuzuia inflation. Sijui kama itawork in the long run.
Unaweza kuja kushuhudia anguko la kiuchumi kubwa sana kwa Russia, na itawaumiza matajiri wengi wa Russia ambao wamewekeza sana Ulaya.
 
Uchumi wa Russia hata ukiporomoka impact yake sio kubwa kama America n.k. Russia kuna ma Oligarchy pia kuna masikini ambao effect ya uchumi kwao kuwa mkubwa au mdogo sio kubwa..., hence watu kama hao huenda mabadiliko yakawafanya wazidi kuichukia NATO / USA na sio necessarily Putin....

Pia hata wakibana huku China akisema tuendelee kufanya biashara huenda in the long run NATO / USA ikabaki na an egg in their face...,

Balance of Power can change anytime and America future is not as bright as it once once...
Uchumi ukiporomoka, hata maskini anapata tabu maana hata kile kidogo alichokuwa anapata kitapungua.
China sidhani kama yuko willing kurisk hii. Ana mfumo wake ambao ni alternative ya SWIFT lakini swali ni je mabenki ya CHina yako tayari kurisk kuwa banned iwapo wataamua kutumia mfumo huko katika kuhamishiana pesa na Russia?
Sidhani kama atafanya hiyo
 
Uchumi ukiporomoka, hata maskini anapata tabu maana hata kile kidogo alichokuwa anapata kitapungua.
China sidhani kama yuko willing kurisk hii. Ana mfumo wake ambao ni alternative ya SWIFT lakini swali ni je mabenki ya CHina yako tayari kurisk kuwa banned iwapo wataamua kutumia mfumo huko katika kuhamishiana pesa na Russia?
Sidhani kama atafanya hiyo
Price ya Vodka itapanda ?

Wanaokuwa hit sana ni ma-Oligarchy; wengine ambao ni wengi maisha yao yanaendelea kuwa magumu as before, tena sasa hivi ndio wanapata wa kusingizia matatizo yao...

China ni hungry for raw materials ambazo Russia has plenty..., Pia kumbuka hawa Wajamaa not long ago ugumu wa maisha kwao sio kitu kipya Na mifumo / utofauti wao na west / America ni more than way of life
 
Price ya Vodka itapanda ?

Wanaokuwa hit sana ni ma-Oligarchy; wengine ambao ni wengi maisha yao yanaendelea kuwa magumu as before, tena sasa hivi ndio wanapata wa kusingizia matatizo yao...

China ni hungry for raw materials ambazo Russia has plenty..., Pia kumbuka hawa Wajamaa not long ago ugumu wa maisha kwao sio kitu kipya Na mifumo / utofauti wao na west / America ni more than way of life
China hawezi kutake that risk aje ale ban toka Ulaya na Marekani. Hizo raw materials akizalisha bidhaa atawauzia Russia na wananchi wake tu?
Uzuri muda utasema yote ngoja tusubiri?
 
China hawezi kutake that risk aje ale ban toka Ulaya na Marekani. Hizo raw materials akizalisha bidhaa atawauzia Russia na wananchi wake tu?
Uzuri muda utasema yote ngoja tusubiri?
Kwahio unadhani China amejitenga na Russia ?

As of now China is the Industry of the World hata hizo Big Brands za Europe zinatengenezwa China..., Hili jambo sio geni hata kipindi cha Cold War kulikuwa na Mgawanyiko either upo upande wa Communists (Russia) au Capitalists (America) na mambo yalienda kwa watu kusaidiana na kufanyiana biashara kutokana na misimamo yao...

Sanctions can go either way.., Sanctions kwa Iran au Palestina inaweza ikafanya wananchi hao kuchukia hayo mataifa yanayowapa sanctions in the end ndio unapata terrorism...

Anyway in the end hapa hakuna mshindi bali a big looser ambayo ni dunia
 
Kwahio unadhani China amejitenga na Russia ?

As of now China is the Industry of the World hata hizo Big Brands za Europe zinatengenezwa China..., Hili jambo sio geni hata kipindi cha Cold War kulikuwa na Mgawanyiko either upo upande wa Communists (Russia) au Capitalists (America) na mambo yalienda kwa watu kusaidiana na kufanyiana biashara kutokana na misimamo yao...

Sanctions can go either way.., Sanctions kwa Iran au Palestina inaweza ikafanya wananchi hao kuchukia hayo mataifa yanayowapa sanctions in the end ndio unapata terrorism...

Anyway in the end hapa hakuna mshindi bali a big looser ambayo ni dunia
Hata kama lakini hawezi jiweka frontline afanye mambo hadharani atalimwa ban na atapoteza sana kuliko kawaida.
Ban za Huawei tu kampuni imeathirika sana, sasa mabenki yake yalimwe ban Europe, Marekani itamcost sana kwenye uchumi wake maana China anafanya biashara huko kote.
Hii dunia inahitaji kuwa reset, UN haina meno ipo tu imabidi baada ya vita iwe dissolved kama walivyo dissolve the league of nations
 
Hata kama lakini hawezi jiweka frontline afanye mambo hadharani atalimwa ban na atapoteza sana kuliko kawaida.
Ban za Huawei tu kampuni imeathirika sana, sasa mabenki yake yalimwe ban Europe, Marekani itamcost sana kwenye uchumi wake maana China anafanya biashara huko kote.
Hii dunia inahitaji kuwa reset, UN haina meno ipo tu imabidi baada ya vita iwe dissolved kama walivyo dissolve the league of nations
Hakuna mtu wa kujiweka Frontline kusaidia hivi vita..., kwa kufanya hivyo sio kwamba unaepuka sanctions bali unaepuka hii kitu kuwa world war..., ndio maana America au NATO hawaendi moja kwa moja wanatoa misaada...

Kuhusu trade China yupo wazi kwamba hamuwekei Russia sanctions hilo mbona lipo wazi..., tena tradewise China akijiunga na Russia na some Asian Countries, Some African Countries Iran n.k. America na Ulaya watabaki wanakodoa tu macho.....

The world will be better wote tukiungana (tutapiga hatua kubwa sana) ila Ulaya na Marekani peke yao hawawezi wakadictate mwenendo wa Dunia..., a lot has changed since the old days (and China might have a deciding part of where the future power lies)
 
Hakuna mtu wa kujiweka Frontline kusaidia hivi vita..., kwa kufanya hivyo sio kwamba unaepuka sanctions bali unaepuka hii kitu kuwa world war..., ndio maana America au NATO hawaendi moja kwa moja wanatoa misaada...

Kuhusu trade China yupo wazi kwamba hamuwekei Russia sanctions hilo mbona lipo wazi..., tena tradewise China akijiunga na Russia na some Asian Countries, Some African Countries Iran n.k. America na Ulaya watabaki wanakodoa tu macho.....

The world will be better wote tukiungana (tutapiga hatua kubwa sana) ila Ulaya na Marekani peke yao hawawezi wakadictate mwenendo wa Dunia..., a lot has changed since the old days (and China might have a deciding part of where the future power lies)
Nasema hivi, hizi sanctions alizowekewa mrusi zitamuathiri sana maana kafungiwa hata SWIFT.
China ana alternative ya swift anayoweza itumia baina yake na russia lakini bila shaka hatofanya hivyo maana atakula sanctions za mabenki pia.
China bado anahitaji ushirika na nchi za west maana zinamwingizia pesa kuliko russia.
Japo ataendelea kumuunga mkono lakini ana limitations katika hilo.
 
Nasema hivi, hizi sanctions alizowekewa mrusi zitamuathiri sana maana kafungiwa hata SWIFT.
China ana alternative ya swift anayoweza itumia baina yake na russia lakini bila shaka hatofanya hivyo maana atakula sanctions za mabenki pia.
China bado anahitaji ushirika na nchi za west maana zinamwingizia pesa kuliko russia.
Japo ataendelea kumuunga mkono lakini ana limitations katika hilo.
That might soon or later be a double edged sword..., ni muda sasa China na nchi nyingine zimekuwa katika mipango ya kuachana na Dollar....

 
That might soon or later be a double edged sword..., ni muda sasa China na nchi nyingine zimekuwa katika mipango ya kuachana na Dollar....

Ndiyo nimesema ipo, ila sasa itakuwa haina maana ikiwa itatumika kati yake na russia labda na north korea. Nchi nyingi haziko tayari kucheza kamari ya kuwekewa sanctions
 
Back
Top Bottom