Amwagia mafuta na kumchoma moto mpenzi wake huko Zanzibar

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058


Samira Abbas mkazi wa Makunduchi Zanzibar amelazwa katika hospitali ya Makunduchi baada ya kumwagiwa mafuta kisha kuchomwa na mpenzi wake
 
Wafuas wa moody bana. The only good thing about this people is they hate and like to kill each other in the name of the one they worship.
We unafikiria udini tu ? je kama angekuwa mkristo ungesema hayo ? tujifunze kufikiri sio kama wazungu kila tokeo likitokea wanatizama nani halafu wanagawa usanii ....jina la kiislamu(rangi tofauti) gaidi, jina la kiskristo- rangi nyeusi ...muhuni, jina la kisristo - mzungu...ana matatizo ya akili kama yule mnorway.....
 
We unafikiria udini tu ? je kama angekuwa mkristo ungesema hayo ? tujifunze kufikiri sio kama wazungu kila tokeo likitokea wanatizama nani halafu wanagawa usanii ....jina la kiislamu(rangi tofauti) gaidi, jina la kiskristo- rangi nyeusi ...muhuni, jina la kisristo - mzungu...ana matatizo ya akili kama yule mnorway.....
hahaaa, umeua hapa mkuu
 
Back
Top Bottom