Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Samira Abbas mkazi wa Makunduchi Zanzibar amelazwa katika hospitali ya Makunduchi baada ya kumwagiwa mafuta kisha kuchomwa na mpenzi wake
wapi vile?Hizi hasira tungekuwa tunaelekeza sehemu nyingine tungekuwa mbali sana
Huko ulikowaza wewewapi vile?
wewe jamaa hufai, hayo yanayokea kila mahali na hayachagui ufuasi wa mtu fulaniWafuas wa moody bana. The only good thing about this people is they hate and like to kill each other in the name of the one they worship.
We unafikiria udini tu ? je kama angekuwa mkristo ungesema hayo ? tujifunze kufikiri sio kama wazungu kila tokeo likitokea wanatizama nani halafu wanagawa usanii ....jina la kiislamu(rangi tofauti) gaidi, jina la kiskristo- rangi nyeusi ...muhuni, jina la kisristo - mzungu...ana matatizo ya akili kama yule mnorway.....Wafuas wa moody bana. The only good thing about this people is they hate and like to kill each other in the name of the one they worship.
hahaaa, umeua hapa mkuuWe unafikiria udini tu ? je kama angekuwa mkristo ungesema hayo ? tujifunze kufikiri sio kama wazungu kila tokeo likitokea wanatizama nani halafu wanagawa usanii ....jina la kiislamu(rangi tofauti) gaidi, jina la kiskristo- rangi nyeusi ...muhuni, jina la kisristo - mzungu...ana matatizo ya akili kama yule mnorway.....