Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Hizi sikukuu noma sana, zitaua watu,
Kamera imemnasa jamaa alivyomuiba ng'ombe kisha kumsukumiza kwenye gari yake ndogo kibabe na kuserereka naye
kidogo inivunje mbavu
ni burudani
sio kwa kumvizia vileAtakuwa mfugaji alimsahau wakati anahama ndo amerudi kumchukua
raia noma sanahuyo raia hafai
Ente yakwiba ezali malamu songa
Yasonga na dadae efraka mazali motena kono mocha kalu segele
nalula
ila mbona kaingia?Gari dogo kuliko ngombe
hahaa, kweli kabisaSijapata kuona ng'ombe mpole na muungwana kama huyo maana ng'ombe mmoja anaweza kuzua tafrani gulioni pakawa padogo sasa huyu aaah
ngo'mbe mpole mbonaSipatii picha hayo mateke aliyokuwa anapewa na ng'ombe