Amtukana boyfriend wake baada ya kumbusu

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Sep 16, 2009
15,103
16,143
Binti alienda kwa daktari huku analia kwa uchungu!Mazungumzo yao yalikuwa hivi:

Dr:Unalia nini?

Binti:Nimemtukana boyfriend wangu kwa kumwambia yeye na mbwa mkubwa!

Dr:Heeee!Kwa nini?

Binti:Alikuja na kunibusu!

Dr:Kama hivi?{Anambusu binti}

Binti:Eeeh,hivyohivyo!

Dr:Halafu?

Binti:Halafu akanishikashika matt.

Dr:Kama hivi?{Anamshika}

Binti:Eeh,hivyohivyo!

Dr:Eeh...

Binti:Halafu akanivua nguo zote na kunipandisha kitandani,naye akavua!

Dr:Kama hivi?

Bint:Eeh!

Dr:halafu...

Binti:Tuka do mavituz!

DR:Ka---aaaa--ma hi-viiiiiiiiiiiiiiiiii??

Binti:Eeeeeehhhhh-arrrrrrrsghhhhhhh!!!

Dr:Halafu?

BINTI:Halafu huyo mvulana akaniambia ameathirika na UKIMWI, na kunionesha vyeti!!!!

Dr:Aaaaaaaaaaaaaaaahhhh,wewe binti ni mbwa,shetani na mwanaharamu mkubwa!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom